Nilimfahamu toka akiwa kidato cha II tukawa tunaongea anapokuwa likizo na nikawa namhimiza kusoma kwa bidii , binti huyo anamwonekano nilihisi hawezi kumaliza FIV kwa kuwa lazima wakware wengi...
Hayo ni maneno ambayo nlitamkiwa na dada mmoja hvi miezi takriban minne iliyopita,kikweli huyu dada ni mrembo wa haja na nlikua na ndoto za kummiliki mapema iwezekanavyo.kisa cha kuniambia maneno...
Naombeni jibu tafadhali. Unakuta ndugu/rafiki anaumwa hakuna mtu anaeonekana kusaidia ILA subiri kama mgonjwa akifariki yani hapo watu wanataka kuonyesha uwezo wao.
Kati ya matendo yatakayokufanya uonekane mhuni ni pale mdada unapoingia faragha kwa mara ya kwanza na mpenzi wako, then gafla unakuwa wa kwanza kuvua na kubaki mtupu. Kama uko kwenye biashara...
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke...
Naombeni Ushauri Wenu
Kuna ka sister kamoja nimekuwa nikikafukuzia muda kiasi. Tatizo linakuja kila nikikatokea kanasema hapana ila Body language yake inasema tofauti. Ni kawaida kwa mwanamke...
Ni beti ya wimbo wa pwani!
Bure usijisumbuwe cheo chetu kimoja
Ya nini matusi, ugomvi na mabishano
Kama wewe ni mkewe na mimi keshaniowa
Yanini hasama choyo na kununiana
Kama wewe wa nyumba kubwa...
Nina mpenzi wangu ambaye anapenda kununa sana hata kwa jambo dogo tu ananuna siku nzima,yaani haongei,hachek hata ufanyaje! Naomba mnishauri nimfanyaje kwani kuna muda nafikiria kumwacha!
Kuna uzi uliokuwa unasema sisi ndo wanaume bana! Mimi naomba niendeleze kwa kutoa yale nnayodhani hayafai kwa mwanaume kufanya. . .
1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa...
Mratibu wa Jamii wa Afya ya Uzazi na Jinsia wa mradi unaotekelezwa kati ya UMATI na Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa mkoani Kilimanjaro (KNCU), Lilian Sizya amesema kuwa baadhi ya...
Natafakari sana najiuliza watanzani tumelithishwa woga hata katika haki zetu za msingi tumebaki kuwa mabubu na wanyonge tnao lilia ndani kila mmoja ukimtizama ni kama anasubiri mwenzake a aanze...
Jumamosi tulikuwa kwenye harusi ya ndugu yetu hapa Machame,ndugu yangu anaoa mwanamke kutoka DAR YAANI MZARAMO,mila zetu ni kwamba baba mzazi wa bwana harusi anachukua ""upata lwa wari"" maarufu...
Ni barua ya dada mmoja akimuandikia x-mpenzi wake,
Endelea.................................
Najua hautamani kusikia lolote kutoka kwangu kwa kuwa sina thamani tena kwako, thamani...
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).Alifariki wakati wa kujifungua mtoto wetu wa pili. katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike...
futa mchumba (binti)..awe muislam...mwembamba na mrefu. Awe na maadili ya kiislam, akiwa na elimu kidogo ni vyema zaidi.
Mimi nina masters na nafanya kazi wa tahasisi ya serikali
Kama interested...
mambo wadau! mimi nina hili swali huwa linanitatiza, kuna baadhi ya wanaume wakiona maX wao wamemove on ( kapendeza, she is happy, anadate na mtu mwingine ) huwa wanaumia yan wivu si wivu anaweza...
Kuna mwanaume anamke wake mzuri sana .mwanaume huyu yeye haishi kusifia wanawake kwenye internet na kuomba namba za simu. Na kuwaita Majina dear.
sasa mkewe inamuuna coz mume wake huwa hamsifii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.