BRO LEE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2011
- 826
- 600
Nilimfahamu toka akiwa kidato cha II tukawa tunaongea anapokuwa likizo na nikawa namhimiza kusoma kwa bidii , binti huyo anamwonekano nilihisi hawezi kumaliza FIV kwa kuwa lazima wakware wengi walikuwa wanamtokea.
Alimaliza Fiv 2010, tulipokutana baasa ya kumaliza tuliongea sana kuhusiana na matokeo akaniambia hayakuwa mazuri na wazazi wake walikuwa wanamtafutia chuo, nilimwuliza kuhusu kurudia mtihani akaniambia hayupo tayari.
Mara nyingine tulipoonana nilmwulizia mipango ya chuo akaniaambia ameshapata chuo na atasomea cheti cha uhasibu, alinikuwa anahitaji nimfuatilie maswala fulani ofisini hivyo tulipeana namba za simu.
Tulianza kuwasiliana kwa simu yy akiwa kinara wa mawasiliano na mizinga ya vocha km kawa, kwa kumchukulia km mdogo wangu sikuona hiyana kumsaidia vi-muda vya maongezi. Mawasilano yakazidi, sauti ya kuremba, maswali ya kizushi mara uko wapi,uko na nani nk, zikaanza meesji za mahaba na simu za usiku wakati huo kashaanza chuo. Alikuwa ananihimiza kila wakati niende kumtembelea mara kanimiss nk.
Nilianza kuhisi mambo siyo, mm nina kanuni sitaki kabisa mazoea na teenager hivyo nikachukua hatua, niliamua kuaongea naye kwa kirefu na kwa kumtega sana ili kujua mawazo yake, ndipo nilipojua tayari ameshanipa nafasi ya upangaji ktk mtima wake ni mm tu ku log in.
Niliongea naye kwa upendo na kumwelimisha kwamba tunaweza kuwa marafiki lakini si uhusiano mwingine binti alifahamu wazi kwamba nina mke !, nikamwomba pia apunguze mawasiano,kweli alipunguza mawasiliano, tukawa tunawasilana kawaida na ile sauti ya kuremba haikuwepo tena. Niliamua kumtembelea tukapata lunch na nikampa vijipesa kidogo.
Mara ya mwisho kuwasilana naye aliniambia amemaliza masomo na alikuwa anafanya tempo mahali fulani, ilikuwa miezi minne iliyopita.
Mkasa,Jumamosi 17/3/12 nikiwa ndani ya benki moja nilimwona na yy akiwa humo c nikaenda kumsalimu tena kwa kumgusa nimemwaga tabasamu, ALINICHUNIA KAMA HANIJUI!!! hebu fikiri kulikuwa na watu wengi tu, nikapotezea na kwenda meza nyingine. Nilihisi vijasho kwapani vikishuka japo kuna ac.
Hivi jamani kama ningemmega haya yote yangetokea c angekuwa na ka-sense of respect hata km ningemmega nikala kona!.
Alimaliza Fiv 2010, tulipokutana baasa ya kumaliza tuliongea sana kuhusiana na matokeo akaniambia hayakuwa mazuri na wazazi wake walikuwa wanamtafutia chuo, nilimwuliza kuhusu kurudia mtihani akaniambia hayupo tayari.
Mara nyingine tulipoonana nilmwulizia mipango ya chuo akaniaambia ameshapata chuo na atasomea cheti cha uhasibu, alinikuwa anahitaji nimfuatilie maswala fulani ofisini hivyo tulipeana namba za simu.
Tulianza kuwasiliana kwa simu yy akiwa kinara wa mawasiliano na mizinga ya vocha km kawa, kwa kumchukulia km mdogo wangu sikuona hiyana kumsaidia vi-muda vya maongezi. Mawasilano yakazidi, sauti ya kuremba, maswali ya kizushi mara uko wapi,uko na nani nk, zikaanza meesji za mahaba na simu za usiku wakati huo kashaanza chuo. Alikuwa ananihimiza kila wakati niende kumtembelea mara kanimiss nk.
Nilianza kuhisi mambo siyo, mm nina kanuni sitaki kabisa mazoea na teenager hivyo nikachukua hatua, niliamua kuaongea naye kwa kirefu na kwa kumtega sana ili kujua mawazo yake, ndipo nilipojua tayari ameshanipa nafasi ya upangaji ktk mtima wake ni mm tu ku log in.
Niliongea naye kwa upendo na kumwelimisha kwamba tunaweza kuwa marafiki lakini si uhusiano mwingine binti alifahamu wazi kwamba nina mke !, nikamwomba pia apunguze mawasiano,kweli alipunguza mawasiliano, tukawa tunawasilana kawaida na ile sauti ya kuremba haikuwepo tena. Niliamua kumtembelea tukapata lunch na nikampa vijipesa kidogo.
Mara ya mwisho kuwasilana naye aliniambia amemaliza masomo na alikuwa anafanya tempo mahali fulani, ilikuwa miezi minne iliyopita.
Mkasa,Jumamosi 17/3/12 nikiwa ndani ya benki moja nilimwona na yy akiwa humo c nikaenda kumsalimu tena kwa kumgusa nimemwaga tabasamu, ALINICHUNIA KAMA HANIJUI!!! hebu fikiri kulikuwa na watu wengi tu, nikapotezea na kwenda meza nyingine. Nilihisi vijasho kwapani vikishuka japo kuna ac.
Hivi jamani kama ningemmega haya yote yangetokea c angekuwa na ka-sense of respect hata km ningemmega nikala kona!.