Nioe mwanamke aliye zaa?

TEGEMEA

JF-Expert Member
Jan 25, 2011
369
56
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).Alifariki wakati wa kujifungua mtoto wetu wa pili. katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
 
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.

ndio, mnaweza kufunga ndoa....kama mmependana......
 
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
Kwanza fatilia ujue kwa nini anaishi bila mume?
Usije kuingie choo cha kike then akaku-JAFETI KASSEBA.
 
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
mnaweza sa long as mnapendana.
 
Ndio Oa, Haina shida as wewe pia Umezaa.

Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
 
Mkeo alikufa kwa sababu gani? Ugonjwa? na kama ugonjwa ugonjwa gani? na ulishapimaA? kama kitu kingine sawa manaake usijekalia kumchunguza mwenzio kumbe wewe pia sio salama. Na kama umnapendana kwa nini usite na wakati wote mna watoto? Ukiskia amani moyoni mwako muoe, ila kama unasitasita, acha tu, kwani hata usipomuoa wewe ataolewa na mume mwingine, hapo mshirikishe Mungu pia, kwani kupata mtu atakae kulelea mtoto wako kama wa kwake inabidi na Mungu ashiriki hapo/
 
Mkeo alikufa kwa sababu gani? Ugonjwa? na kama ugonjwa ugonjwa gani? na ulishapimaA? kama kitu kingine sawa manaake usijekalia kumchunguza mwenzio kumbe wewe pia sio salama. Na kama umnapendana kwa nini usite na wakati wote mna watoto? Ukiskia amani moyoni mwako muoe, ila kama unasitasita, acha tu, kwani hata usipomuoa wewe ataolewa na mume mwingine, hapo mshirikishe Mungu pia, kwani kupata mtu atakae kulelea mtoto wako kama wa kwake inabidi na Mungu ashiriki hapo/

Asante sana kwa ushauri wako.mungu akubariki.Mke wangu alifariki wakati anajifungua mtoto wetu wa pili.
 
hakuna ubaya,kama mnapendana.ingawa huwa ngumu kwenye kulea watoto.wanaweza wakaoneana wivu,huyu baba angu na huyu mama angu.inachotakiwa,mpendane vizuri,na watoto msiwabague
 
Its complicated, sio rahisi kama inavyoonekana kwa nje.
Inahitaji watu matured sana kiakili kuoana kama wote wana watoto.

Haya mambo ya ku-abuse watoto huanzia hapa.

Je mmoja wa wanandoa akiwa mpya kwenye ndoa(hakuwahi kuoa/kuolewa) hapo hakuna abuse ya watoto wa mwenzake?
 
Huyo mwanamke kama alizaa na mtu mwingine je huyo mwanaume yuko hai? na kama yuko hai ni nini sababu za wao kutokuwa pamoja? hapa mjomba unaingia choo kike, ni ngumu sana watu kuyagunduwa makosa haya hasa ukiwa tayari umeshaonjeshwa tunda la katikati.

Hivi pata picha siku huyo binti yake siku anaolewa sasa mpo kwenye shereha za harusi halafu pale mbele high table mke wako anakaa na mwanaume mwingine maana ndio baba mzazi wa huyo binti!......kuna fedheha nyingine huwa tunazitafuta wenyewe.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom