Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
Kwanza fatilia ujue kwa nini anaishi bila mume?Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
Mmeshapima!? Mnapendana, hamna sheria inayowazuia kutofunga ndoa. OA.
Kwanza fatilia ujue kwa nini anaishi bila mume?
Usije kuingie choo cha kike then akaku-JAFETI KASSEBA.
mnaweza sa long as mnapendana.Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
mnaweza sa long as mnapendana.
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
Nimekusoma asante.Ndio Oa, Haina shida as wewe pia Umezaa.
Mkeo alikufa kwa sababu gani? Ugonjwa? na kama ugonjwa ugonjwa gani? na ulishapimaA? kama kitu kingine sawa manaake usijekalia kumchunguza mwenzio kumbe wewe pia sio salama. Na kama umnapendana kwa nini usite na wakati wote mna watoto? Ukiskia amani moyoni mwako muoe, ila kama unasitasita, acha tu, kwani hata usipomuoa wewe ataolewa na mume mwingine, hapo mshirikishe Mungu pia, kwani kupata mtu atakae kulelea mtoto wako kama wa kwake inabidi na Mungu ashiriki hapo/
Its complicated, sio rahisi kama inavyoonekana kwa nje.
Inahitaji watu matured sana kiakili kuoana kama wote wana watoto.
Haya mambo ya ku-abuse watoto huanzia hapa.
Hilo ndo jibu lipo wazi kabisamnaweza sa long as mnapendana.