Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Samahani wadau wa jukwaa letu tukufu la MMU, Kwanza kabisa, naamini mko wazim na mnadunda...Mie pia ni mzima na nimewa-miss kikweli kweli!! Leo nimejikuta napatwa na mawazo ya ajabu ajabu kuhusu...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Nimempoteza mama ijuma 2/3/12 hoja nyingi nimekosa vilevile mnkali wa internet umepungua
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hllw there! nmetafuta binty ,lakn kila wakat naangukia pua. labda jf ntpata gr8 thinker mwenzang.....
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Kisa changu kiko hvi,kuna gal mmoja alikua galfrd wangu wa tangu utoton,ilitokea akaja kugundua kwamba nimemsalit kwa kutoka na rafiki yake kipenzi,wel alinchunia takriban mwaka mzima akikataa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Vigezo na Mashariti: 1. Awe christian na awe mcha mungu 2. Awe anatoka kanda ya ziwa 3. Awe atleast na diploma, bachelor, master yoyote bali isiwe ni polisi, mwanajeshi, nurse na kazi yoyote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kama kuna binti wa kiarabu au msomali humu ndani plz ni pm tuongee..
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Nimekuwa najiuliza, lakini sipati jibu. Mpenzi wangu wa Primary alikuwa Mashoto, wa A Level alikuwa Mashoto, then huyu wa sasa naye ni Mashoto, hii imekaaje? Sijui nitaoa Mashoto?
1 Reactions
58 Replies
6K Views
"Ulilazwa hospitali miezi mitatu, Miezi sita masomoni yote nilivumili., Unataka upendwe vp Wewe Gam..*2, " Maranyingi watu huwa hawakumbuki mazuri waliofanyiwa na wapenzi wao na mwisho wake...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
fungua hii web ikusadie kwenye mapenzi yako na mwenza wako na si hawara yako poshpoint.blogspot.com
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Hawa wasichana wanao enda kwa akna mchungaji rwakatare kuombewa ili wapate wachumba,ni kwel huko street kwao kote wamekosa wanaume wa kuwaoa kweli au hii ishu huwa imekaaje wakuu?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani jamani akina dada nisetirini mwenzenu upweke huu. Natafuta mwana jf msafi wa ukweli kwa ajili ya wikiend hii. Garama kila kitu kwangu na nakuhakikishia hautaboreka. Utakula na kudeka kwa...
0 Reactions
71 Replies
5K Views
1. Wema sepetu 2. Linah 3. Dj fetty 4. Kiki 5.mwamvita makamba 6. Salama jabir 7.dina marios 8.c.e.o wa 8020 blog 9 c.e.o wa bang magazine 10.mboni masimba Naruhusu kuchaguliwa...
1 Reactions
144 Replies
18K Views
Ndugu zangu wanaJF, jamii imekuwa na unyanyapaa wa aina ya kipekee dhidi ya wanawake au wanaume wasio na uwezo wa kupata mtoto. Wamekuwa wanyonge na hata imekuwa tishio katika kudumu ndoa zao...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kisaikolojia inasemekana kuwa mtu akikosa kitu alichotarajia (frastruesheni) mbinu mojawapo atayo tumia ni kurudia tabia zake za zamani hata za kijinga! mfano mtoto akiwa pekee yake nyumbani huwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nimesikia hizi habari siku moja kwamba ukipata bahati ya kuoa mwanamke mwenye ndevu za asili (sio wale wanaoota ndevu kwa sababu ya kuchubua na madawa mengine) huwa wanaakili sana za kimaisha na...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Wanandoa wanaowekana wazi vipato vyao na kupangia VS Wanandoa ambao wanafichana vipato vyao halisi. .. NB: This includes marupurupu na pesa yoyote inayopatikana nje ya mshahara.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kike wa kushibana kabisa awe mkazi wa Mara,Mwanza,Moro au Dar-es salaam sibagui dini au kabila plz nichek tuwe marafiki wa ukweli.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
am looking for a girl friend who have 19-23 years, no matter what level of education she have.. aiming for charting and changing ideas.. i will be much happy a day i get that friend..
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Kama umeowa wa kuolewa lakini unae mtu wako wa pembeni (undercover lover) kwa mapenzi ya ziada ambaye hutaki mkeo au mume ajuwe (aelewe) hakikisha sabuni unayotumia nyumbani wakati wa kukoga vile...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Imekaje hii, umenyeng'anywa mpenzi wako na rafiki yako then unamwomba ahadi kumpenda kwa sababu wewe unampenda sana. Ni moyo wa kawaida kweli huu?
0 Reactions
2 Replies
847 Views
Back
Top Bottom