Samahani wadau wa jukwaa letu tukufu la MMU,
Kwanza kabisa, naamini mko wazim na mnadunda...Mie pia ni mzima na nimewa-miss kikweli kweli!!
Leo nimejikuta napatwa na mawazo ya ajabu ajabu kuhusu...
Kisa changu kiko hvi,kuna gal mmoja alikua galfrd wangu wa tangu utoton,ilitokea akaja kugundua kwamba nimemsalit kwa kutoka na rafiki yake kipenzi,wel alinchunia takriban mwaka mzima akikataa...
Vigezo na Mashariti:
1. Awe christian na awe mcha mungu
2. Awe anatoka kanda ya ziwa
3. Awe atleast na diploma, bachelor, master yoyote bali isiwe ni polisi, mwanajeshi, nurse na kazi yoyote...
Nimekuwa najiuliza, lakini sipati jibu. Mpenzi wangu wa Primary alikuwa Mashoto, wa A Level alikuwa Mashoto, then huyu wa sasa naye ni Mashoto, hii imekaaje? Sijui nitaoa Mashoto?
"Ulilazwa hospitali miezi mitatu, Miezi sita masomoni yote nilivumili., Unataka upendwe vp Wewe Gam..*2, "
Maranyingi watu huwa hawakumbuki mazuri waliofanyiwa na wapenzi wao na mwisho wake...
Hawa wasichana wanao enda kwa akna mchungaji rwakatare kuombewa ili wapate wachumba,ni kwel huko street kwao kote wamekosa wanaume wa kuwaoa kweli au hii ishu huwa imekaaje wakuu?
Jamani jamani akina dada nisetirini mwenzenu upweke huu.
Natafuta mwana jf msafi wa ukweli kwa ajili ya wikiend hii. Garama kila kitu kwangu na nakuhakikishia hautaboreka. Utakula na kudeka kwa...
Ndugu zangu wanaJF, jamii imekuwa na unyanyapaa wa aina ya kipekee dhidi ya wanawake au wanaume wasio na uwezo wa kupata mtoto. Wamekuwa wanyonge na hata imekuwa tishio katika kudumu ndoa zao...
Kisaikolojia inasemekana kuwa mtu akikosa kitu alichotarajia (frastruesheni) mbinu mojawapo atayo tumia ni kurudia tabia zake za zamani hata za kijinga! mfano mtoto akiwa pekee yake nyumbani huwa...
Nimesikia hizi habari siku moja kwamba ukipata bahati ya kuoa mwanamke mwenye ndevu za asili (sio wale wanaoota ndevu kwa sababu ya kuchubua na madawa mengine) huwa wanaakili sana za kimaisha na...
Wanandoa wanaowekana wazi vipato vyao na kupangia VS Wanandoa ambao wanafichana vipato vyao halisi.
..
NB: This includes marupurupu na pesa yoyote inayopatikana nje ya mshahara.
am looking for a girl friend who have 19-23 years, no matter what level of education she have..
aiming for charting and changing ideas.. i will be much happy a day i get that friend..
Kama umeowa wa kuolewa lakini unae mtu wako wa pembeni (undercover lover) kwa mapenzi ya ziada ambaye hutaki mkeo au mume ajuwe (aelewe) hakikisha sabuni unayotumia nyumbani wakati wa kukoga vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.