Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke mwenza.
Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?
Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!
Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?
Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!