wanawake viumbe wa ajabu

jobseeker

Member
Feb 25, 2012
70
7
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke mwenza.

Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?

Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!
 
sijaona cha ajabu hapo kiasi cha kuita mwanamke ni kiumbe wa ajabu...........

nilichoona ni nature ya kawaida ya binadamu wote ya umiliki, wanapenda kuhodhi mke/mume awe wake pekeyake, asiibiwe, asi-share.... ila yeye kuiba vya mwenzie anaona ni adventure,

ni ubinafsi wa kawaida alionao binadamu, lakini kuiba mume/mke wa mtu si jambo jema basi kila mmoja kwa nafasi yake kama anatenda hayo aache
 
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke mwenza.

Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?

Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!

Hapo penye red najaribu kufikiria beyond the box, mahusiano ya kimapenzi kwa ujumla wake ni complex sana. Ktk hili hata sisi wanaume mara nyingi huwa hatueleweki pia. Nina mifano ya wanaume wengi ambao wameoa na ni wakali sana na wanawachunga sana wake zao lakini na wao huko maofisini na kwenye starehe nyingine ni wa kwanza kuiba iba mali za watu.

Matazamo wangu: Hakuna mtu; awe mwanamke au mwanaume anayependa kuibiwa mpenziwe, na ni ukweli usiopingika kuwa huwa inauma sana kuibiwa na si mchezo wa kukubaliwa au kufurahiwa. Cha msingi kila mtu kwa wakati wake ajaribu kuwa mwaminifu na kutokupenda kuchukua au kudonoa wapenzi wa watu. Naamini wengi tukichukua tahadhari hii, madhara mengi ya fumanizi na kutendewa mabaya baada ya kufumaniwa haitakuwepo tena.

Kama dini inaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja, haina shida go ahead lakini ni vyema kufuata procedures zinazokubalika ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima.
 
sijaona cha ajabu hapo kiasi cha kuita mwanamke ni kiumbe wa ajabu...........

nilichoona ni nature ya kawaida ya binadamu wote ya umiliki, wanapenda kuhodhi mke/mume awe wake pekeyake, asiibiwe, asi-share.... ila yeye kuiba vya mwenzie anaona ni adventure,

ni ubinafsi wa kawaida alionao binadamu, lakini kuiba mume/mke wa mtu si jambo jema basi kila mmoja kwa nafasi yake kama anatenda hayo aache

Badili Tabia, tumegongana mawazo, na nimeshindwa kufuata maoni yangu. Unachosema ni kweli tupu.
 
...its complicated lakini sio ishu ya kuwatupia wanawake tu!...hata sisi wanaume tuna sehemu yetu katika hilo!...
anaeiba na anaeibiwa wote ni problem tu!..na wakati mwingine inabaki kua ishu ya maslahi tu kwa hao wenzetu ila sio mapenzi ya kweli kwa maana ya kuishi mtu mke na mtu mme!..
 
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke mwenza.

Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?

Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!


Waswahili wakwambia sinzia tamu kuliko lala, back to topic mwanamke anayekubali ukewenza nyumba ndogo ni MASLAHI kwenda mbele upendo comes second, thats the hard fact.
 
baba kelele za nini wewe huoni kuwa thats gud for us men
unapata chance ya kuwatumia kama chombo cha starehe na unaburudika. be happy bana coz their confusion is our joy
 
Haielezeki,na kila anaefanya hayo anafanya kwa malengo yake,ukimuona mwenzio ana nyolewa bila kutia matiwa maji ya kichwa wewe chako kitie kabisa kabla wembe haujakufikia.......
 
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke mwenza.

Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?

Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!
kwani kuna mwanamme ambaye yuko radhi kuwa mme mwenza? mbona sasa tunatembea na wake za watu?
 
Wanawake ni soo bila mitchell Obama asingekuwa rais wala JK bila ya Salma asingekuwa,na bila regina Lowasa hatakuwa rais 2015 behind every successful man there is a great sweet woman!!
 
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke mwenza.

Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?

Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!

nadhani kuwajumuisha wote unakosea maana kuna wengine wanamisimamo yao wakisema no ni no kweli jambo asilimia kubwa wana character kama ulizoainisha
 
Hapo penye red najaribu kufikiria beyond the box, mahusiano ya kimapenzi kwa ujumla wake ni complex sana. Ktk hili hata sisi wanaume mara nyingi huwa hatueleweki pia. Nina mifano ya wanaume wengi ambao wameoa na ni wakali sana na wanawachunga sana wake zao lakini na wao huko maofisini na kwenye starehe nyingine ni wa kwanza kuiba iba mali za watu.

Matazamo wangu: Hakuna mtu; awe mwanamke au mwanaume anayependa kuibiwa mpenziwe, na ni ukweli usiopingika kuwa huwa inauma sana kuibiwa na si mchezo wa kukubaliwa au kufurahiwa. Cha msingi kila mtu kwa wakati wake ajaribu kuwa mwaminifu na kutokupenda kuchukua au kudonoa wapenzi wa watu. Naamini wengi tukichukua tahadhari hii, madhara mengi ya fumanizi na kutendewa mabaya baada ya kufumaniwa haitakuwepo tena.

Kama dini inaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja, haina shida go ahead lakini ni vyema kufuata procedures zinazokubalika ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima.

well well well!!
 
Waswahili wakwambia sinzia tamu kuliko lala, back to topic mwanamke anayekubali ukewenza nyumba ndogo ni MASLAHI kwenda mbele upendo comes second, thats the hard fact.

ulilosema ni ukweli mtupu ndo maana ukiangalia hizi nyumba ndogo ndizi zinagarim kuliko ndoa yenyewe
 
Mimi naweza kuifananisha maneno post yako na uwepo wa makahaba ambao wanalaumiwa kila kona bila kuwafikiria wanaume ambao ndo wateja wao wakubwa na kutokuwepo kwa hao wanunuzi ambao ni wanaume basi hata hao wanawake wanaojiuza wasingekuwepo basi hapa wakulaumiwa ni wote na siyo wanawake tu!
 
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke mwenza.

Kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwaje kuwaje tena basi wanatokea wanawake hao hao kuwa na affair na waume za watu tena wakijua kabisa kama huyu mtu ana mke? na wengine mpaka wanafika kuwekwa kama nyumba ndogo? Kwa nini wakatae uke wenza lakini wako radhi kuibia ibia waume za watu? Kwa nini wanakataa kushare mume katika ndoa na kujua siku gani ni faragha yako, lakini wako na hiyari mikutano ya siri siri na ya masaa ya ajabu ajabu? Hivi wanawake wanapokubali kuwa na affair nini lengo lao hasa? kuvunja unyumba au kumkomesha mke wa anaefanya nae affair?

Ama kweli wanawake ni vigumu kuwaelewa!!!!!

Tukishawaweka ndani wanakuwa hawana uhuru wa kutafuta masilahi. Wanawake wengu hujidai mapenzi, mapenzi, lakini ukweli ni kuwa wako kimasilahi zaidi kuliko mapenzi.
Tatizo letu wanaume nalo ni kuwa tunatowa kila kitu kuhakikisha kuwa vimada havitukimbii vikaendea masilahi bora zaidi na tunawaona wake zetu kuwa tumeshawaweza hawana pa kwenda hivyo tunapunguza jitihada zetu na kuzielekeza kwa mahawara!
 
Hapo penye red najaribu kufikiria beyond the box, mahusiano ya kimapenzi kwa ujumla wake ni complex sana. Ktk hili hata sisi wanaume mara nyingi huwa hatueleweki pia. Nina mifano ya wanaume wengi ambao wameoa na ni wakali sana na wanawachunga sana wake zao lakini na wao huko maofisini na kwenye starehe nyingine ni wa kwanza kuiba iba mali za watu.

Matazamo wangu: Hakuna mtu; awe mwanamke au mwanaume anayependa kuibiwa mpenziwe, na ni ukweli usiopingika kuwa huwa inauma sana kuibiwa na si mchezo wa kukubaliwa au kufurahiwa. Cha msingi kila mtu kwa wakati wake ajaribu kuwa mwaminifu na kutokupenda kuchukua au kudonoa wapenzi wa watu. Naamini wengi tukichukua tahadhari hii, madhara mengi ya fumanizi na kutendewa mabaya baada ya kufumaniwa haitakuwepo tena.

Kama dini inaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja, haina shida go ahead lakini ni vyema kufuata procedures zinazokubalika ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima.

Pengine hukumuelewa mtowa mada anauliza nini! Anachoshangaa ni kwanini wanawake wanakuwa wakali kuwekwa uke wenza wakati wengi wao wanajiweka uke wenza binafsi yao?
 
Back
Top Bottom