Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hi wana jf,natumai mko poa nafikiri ni wakati sawia kueleza haya kipi kitakuwa bora kuonyesha mapenzi ya dhati kwa msichana na kukubaliana na vyote atakavyorespond au kutojihusisha na suala la mpz...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
‘Ni mwaka sasa umetimia tar kama ya leo 28/3/2011 nilipoondokewa na wewe mwanangu kipenzi IKUPA MWAKYUSA (14yrs) pale Lugalo hosp,najua ulilala tu na sasa umevikwa mwili mpya usiokufa ukipumzika...
3 Reactions
58 Replies
6K Views
Leo asubuhi nilienda mpeleka mtoto wangu hospital alikuwa na ki homa homa, na dr mmoja wakike kila wakati ananichekea afu anamsifu mtoto wangu wa kume anasema huyu ni handsome kama baba yake. Cha...
0 Reactions
80 Replies
7K Views
Haya sio maneno yangu bali ni ya mbunge wa Kawe Halima Mdee kuwa wasichana msitegemee rushwa ya ngono kutimiza ndoto zenu za maisha. Mdee amewataka wasichana kujiamini na kutokutemea kutoa rushwa...
6 Reactions
52 Replies
5K Views
Nilikua na mpenzi wangu ambae nilimpenda sana na bado element za love zipo kwake, nilianza nae 2007 nikiwa f5 tuliishi vizuri na mimi nilikua wa kwanza kwake,penzi lilikuja kuingia doa 2011 pale...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Asanteni kwa msaada wenu.......
0 Reactions
133 Replies
8K Views
mwanzoni nilifikiri labda ni mi peke yangu ambae huwa hadi nirudi usiku ndo ntandike (kwa sie bachalaz..lol) ha! jana kwa bahat mbaya sana tumerud na shem mke wa bro toka ofisini..ile kuingia...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
tawapa ka stori kamoja ili niweke clear haka ka thread, "Kwenye account yangu ya fb kuna msichana ambaye basically aliwahi kuwa gf wangu, yes she was my first love and probably the best love ever...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Nasumbuliwa na red eyes ndugu zangu wana MMU,niombeen nipone haraka!kwa yeyote anaetaka kuniona niko mabibo hostel block E floor ya 2 room number 2_7.
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Wapo watu ambao hua tunawafananisha kwa muonekano, namna ya kuongea, kifikra au walivyo tu kiujumla na watu wetu wa karibu au tunaowafahamu tu. Hii inaweza ikasababisha mtu akawa na hisia mbaya...
6 Reactions
96 Replies
5K Views
jamani wana jamii kuna site mpya ya kutafuta mchumba ya east africa.join na uwanze kutafuta mchumba Online Dating at Swahili Singles ni site mpya,lakini inakuwa haraka.....jiunge ili network...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Asha Bani HIVI karibuni vyombo vya habari viliripoti taarifa za kuwapo kwa mashine ya kunyanyua matiti ili yaweze kusimama kwa yale yaliyoanguka. Licha ya vyombo vya habari kuandika suala hilo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jaman wadau naomba mnisaidie kuhusu hili jambo,nlikua na mwanamke/mpenzi wangu nlikua nampenda sana kupita maelezo.Ikaja ikatokea akaanza kunibadilikia,visirani kila saa tukiwa na miadi haji bila...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Ilikuwa ni siku ya Jumamosi, na ndio nilikuwa nimetoka Benki kuchukua mshahara wangu wa kwanza baada ya kusota kwa takriban mwaka mmoja bila ajira. Kwa mwaka huo mmoja niliokuwa nje ya ajira baada...
10 Reactions
55 Replies
5K Views
Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...! Ni kwanini...
1 Reactions
94 Replies
7K Views
Inaendelea toka sehemu ya 6 .... Nilibaki kinywa wazi, na ni dhahiri nilijua kuwa nimeingia mtegoni. Nilifumba macho, nikavuta pumzi,na kutaka kuongea jambo nikashindwa. Ghafla mlango...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwisho wa mwaka jana nilimpata my soul mate mwanamke ambae alikizi kila kigezo nilichohitaji kwa mwanamke, ninampenda sana nimemfanyia kila ki2 kicho ndani ya uwezo wangu, namjali sana sita weza...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Kuna jamaa yangu leo amegunduwa kuwa mkeo huwa anatabia ya wizi pesa anazotoa za matumizi anapeleka kwao. Na gharama za nyumbani zimepanda lakini huduma na chakula ni kile kile leo katika pekua...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuna mwanamke mmoja ambaye anafanya kazi kitengo cha haki za binaadamu hapa tz nilikuwa napiga nae story..... Maelezo aliyonipa yamenifanya nianze kuamini kuwa hizi harakati za wanawake mwisho...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Naitwa Joseph,natafuta mchumba awe na umri kuanzia miaka 18-25,mnene kiasi,mweupe au maji ya kunde na awe na urefu kuanzia ft 4.7-6.0,dini awe Rc,elimu kuanzia kidato cha nne na kuandelea.Aliye...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom