BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Pengine ni ndoa nyingi zinalalama na matatizo ya wakwe
ni kweli kwa namna moja ama nyingine akuna aliezaliwa yuko right kila sehemu
ila naombaleo niweke wazi mama mkwe hana matatizo kabisa kabisa kama utampenda na kumheshimu kama mama yakomzazi
nimangalia watoto wengi hasa umri wetu wa kizazi cha jk wamekuwa baada ya kuolewa ama kuoa wanaona wazazi hawana maana tena na hili hutokea hata mzazi kuapa kuliko aende kwenye nyumba ya mwanae kusalimia bora akahudumie wale wezi wa segerea masaa matatu apate thawabu
ndugu zanguni si vyema tuoe na kuishi maisha ya kuogopana ama kutoelewana na wazazi wetu..ikifika ndoa ya aina hii nawaambia ndugu hata huko uendako tarajia moto..nasema moto nimeona wengi wakati ndoa ikianza kunoga wanafika kuwadharau wazazi wao lakini inapofika nyumba ya ndoa ikaanza kuiva kama ndoa mmoja anageuka na kuanza kutoa kshfa kumbe ndio maana umeshindwa kuelewana na mama yangu huna maana wewe sijui hata kwenu uliishije ..yanaibuka matusi mengi ambayo atuwezi kuyaweka hadharani kulinda watoto wanaoingia jamvini
dawa ya mama mkwe:
Yawezekana umekuwa na tatizo gumu la makelele ya mamakwe kwenye ndoa yako zipo dawa nyingi za kuondokana na matatizo kama haya
1..maombi
jitahdi kuongozwa na maombi kwenye ndoa yako sio mpaka kiwake ndio uanze kumuita mungu ooh god ni huyu kweli ni huyu kweli loh malaika watakujibu""si uliomba mwenyewe"" jitahdi mshikiriane kwenye maombi kuna wanandoa wanaishi kama mapaka na sio kwamba awapendani la hasha mama anaingi kitandani anajisalia moto baba akifika ndani nae anajisalia analala hapana hii sio hata shetani mnamkaribisha hata kama mna watoto wenu shikaneni pamoja mungu anapenda maombi ya watu walio nia moja
2..heshima
pengine hujui tatizo lako lakini mamamkwe awana matataizo kabisa kabisa wengi wao hata wakiwa wamekuchukia kama utawaonyesha heshima kama unavyomheshimu mama yako mzazi nakwambia akuna tatizo la mamamkwe kwenye ndoa yako..aijalishi ameongea nini msamehe mpende mpe heshima yake mpe anachostahili hata mkinunua nguo za wazazi mkumbuke uone kama atobadilika ..ukijifanya nundu ule laana inafwata watoto wenu na wewe unaingia kwenye harusi ya mwanao umenuna lakini ndio hivyo kumbe uliikaribisha mwenyewe
3)+ na akili yako
4=usiku mwema wote mungu awabariki muende kusali na kumshukuru kwa kuwalinda mpaka hapo mulipo soma wimbo uliobora 8:6/16
ni kweli kwa namna moja ama nyingine akuna aliezaliwa yuko right kila sehemu
ila naombaleo niweke wazi mama mkwe hana matatizo kabisa kabisa kama utampenda na kumheshimu kama mama yakomzazi
nimangalia watoto wengi hasa umri wetu wa kizazi cha jk wamekuwa baada ya kuolewa ama kuoa wanaona wazazi hawana maana tena na hili hutokea hata mzazi kuapa kuliko aende kwenye nyumba ya mwanae kusalimia bora akahudumie wale wezi wa segerea masaa matatu apate thawabu
ndugu zanguni si vyema tuoe na kuishi maisha ya kuogopana ama kutoelewana na wazazi wetu..ikifika ndoa ya aina hii nawaambia ndugu hata huko uendako tarajia moto..nasema moto nimeona wengi wakati ndoa ikianza kunoga wanafika kuwadharau wazazi wao lakini inapofika nyumba ya ndoa ikaanza kuiva kama ndoa mmoja anageuka na kuanza kutoa kshfa kumbe ndio maana umeshindwa kuelewana na mama yangu huna maana wewe sijui hata kwenu uliishije ..yanaibuka matusi mengi ambayo atuwezi kuyaweka hadharani kulinda watoto wanaoingia jamvini
dawa ya mama mkwe:
Yawezekana umekuwa na tatizo gumu la makelele ya mamakwe kwenye ndoa yako zipo dawa nyingi za kuondokana na matatizo kama haya
1..maombi
jitahdi kuongozwa na maombi kwenye ndoa yako sio mpaka kiwake ndio uanze kumuita mungu ooh god ni huyu kweli ni huyu kweli loh malaika watakujibu""si uliomba mwenyewe"" jitahdi mshikiriane kwenye maombi kuna wanandoa wanaishi kama mapaka na sio kwamba awapendani la hasha mama anaingi kitandani anajisalia moto baba akifika ndani nae anajisalia analala hapana hii sio hata shetani mnamkaribisha hata kama mna watoto wenu shikaneni pamoja mungu anapenda maombi ya watu walio nia moja
2..heshima
pengine hujui tatizo lako lakini mamamkwe awana matataizo kabisa kabisa wengi wao hata wakiwa wamekuchukia kama utawaonyesha heshima kama unavyomheshimu mama yako mzazi nakwambia akuna tatizo la mamamkwe kwenye ndoa yako..aijalishi ameongea nini msamehe mpende mpe heshima yake mpe anachostahili hata mkinunua nguo za wazazi mkumbuke uone kama atobadilika ..ukijifanya nundu ule laana inafwata watoto wenu na wewe unaingia kwenye harusi ya mwanao umenuna lakini ndio hivyo kumbe uliikaribisha mwenyewe
3)+ na akili yako
4=usiku mwema wote mungu awabariki muende kusali na kumshukuru kwa kuwalinda mpaka hapo mulipo soma wimbo uliobora 8:6/16