fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Jana nilikuwa nimebana kwenye corner moja pale starbucks na piga coffee, mara wakatokea wasichana wawili waka kaa karibu na pale nipo mimi kwenye meza ya pili...wakanza kupiga kizungu chao yule msichana mmoja akawa anamwambia mwenzake hivi kwa kizungu...Thank God am Just 23 not 30yrs, so am free to make mistakes, she further said that she is yet to bleep different guys to taste how sweet.
Ikabidi nishindwe kuvumilia nikafanya hivi mhhhm haaam mwenzake anaye sikiliza akanitazama, alipo nitazama nikamwambia tell her to mark me as the next guy to pump her.
Wakaiinuka zao mbio mbio huku wanacheka kwa aibu, sasa swali nalo jiuliza mpaa mda hu, je huyo mwanamke ni kweli anafanya hayo au anataka kumpoteza mwenzake.
Ikabidi nishindwe kuvumilia nikafanya hivi mhhhm haaam mwenzake anaye sikiliza akanitazama, alipo nitazama nikamwambia tell her to mark me as the next guy to pump her.
Wakaiinuka zao mbio mbio huku wanacheka kwa aibu, sasa swali nalo jiuliza mpaa mda hu, je huyo mwanamke ni kweli anafanya hayo au anataka kumpoteza mwenzake.