Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Jumanne ya juzi kuna kijana mmoja alipigwa sana na kupoteza uhai udsm hall 1 kwa kuitwa mwizi.
Uchunguzi uliofanyika ulibaini yule kaka hakuwa mwizi. Alikuwa boyfriend wa mwanadada mmoja ambapo inaonekana huyo dada alikula hela ya jamaa. Kabla ya kuitwa mwizi alionekana akizungumza kwa simu kwa muda mrefu aking'ang'ani 'kuja room'. Baada ya kufika kwa mdada huyo walivutana na mwisho wa siku alimpigia kelele za mwizi. Kama kawaida ya watanzania wakampiga mawe na matofali wakaua!
Uchunguzi uliofanyika ulibaini yule kaka hakuwa mwizi. Alikuwa boyfriend wa mwanadada mmoja ambapo inaonekana huyo dada alikula hela ya jamaa. Kabla ya kuitwa mwizi alionekana akizungumza kwa simu kwa muda mrefu aking'ang'ani 'kuja room'. Baada ya kufika kwa mdada huyo walivutana na mwisho wa siku alimpigia kelele za mwizi. Kama kawaida ya watanzania wakampiga mawe na matofali wakaua!