spike
Senior Member
- Jan 8, 2011
- 112
- 15
Mwisho wa mwaka jana nilimpata my soul mate mwanamke ambae alikizi kila kigezo nilichohitaji kwa mwanamke, ninampenda sana nimemfanyia kila ki2 kicho ndani ya uwezo wangu, namjali sana sita weza muumiza kwa makusudi.
Ni mpole ana nidhamu inshort a wife material. Huyu binti aliwahi kuchumbiwa wakaachana mwaka jana mwezi wa 11 kwa sababu jamaa ali mcheat 2 wik ago, wazazi wa mwanaume walienda kwa wazazi wa mwanamke kuomba msamaha wakakubaliana na wakapanga ndoa ifungwe june, wazazi wa binti wamemng'ang'aniza olewe kwa madai yake alikua nampenda zamani sio sasa, naombeni msaada nifanye nini wadau nipingane na wazazi au?
Ni vigumu kumpata binti kama huyo tena ni mwache aende kwa jamaa wakati najua atamuumiza tena?
Yeye yuko Mbeya wazazi wako Tanga.
Naombeni ushauri wadau ndiyo naachwa mwenzenu.
Ni mpole ana nidhamu inshort a wife material. Huyu binti aliwahi kuchumbiwa wakaachana mwaka jana mwezi wa 11 kwa sababu jamaa ali mcheat 2 wik ago, wazazi wa mwanaume walienda kwa wazazi wa mwanamke kuomba msamaha wakakubaliana na wakapanga ndoa ifungwe june, wazazi wa binti wamemng'ang'aniza olewe kwa madai yake alikua nampenda zamani sio sasa, naombeni msaada nifanye nini wadau nipingane na wazazi au?
Ni vigumu kumpata binti kama huyo tena ni mwache aende kwa jamaa wakati najua atamuumiza tena?
Yeye yuko Mbeya wazazi wako Tanga.
Naombeni ushauri wadau ndiyo naachwa mwenzenu.