Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...!
Ni kwanini lakini?
Ni kwanini lakini?