Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Bi Elizabeth Edward ambaye ni mke wa aliyekua mgombea wa Urais wa USA BW John Edward kua ana kimwana kingine chenye umri wa miaka 30 tu, Bi Elizabeth ambaye anasumbuliwa na saratan ya titi licha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mama kama unataka ndoa yako idumu na mume wako  akupende sana, kama una haousegirl jitahd kumkabidhi mzee atembee nae huko huko ndani,na usimnyanyase kwa kuwa ni mke mwenzio wa ukweli, mume...
1 Reactions
62 Replies
6K Views
Haya ni malalamiko ya mwanamke ambayo amekuwa akiyatoa hadharani kwa wanaume ambao ni rafiki wa mwanaume ambaye alimpa 'uroda' na kuishia kuhongwa shilingi 2000/= baada ya kupelekewa 'moto' wa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wana jamvi najikujua ki style hii naomba kuja makabila watani wak na kama kuna historia ya utani huo ulianzaje sio vibaya kwa faida ya wengi kama mim tusio jua haya uwanja wa wanaojua historia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hakika hakuna anayewahi kubadilika maumbile km mwanamke,wadau hii imemkuta jamaa yangu ndani ya facebook baada ya kuchat na sana na binti mwisho wa siku wakabadilishana no ktk maongezi jamaa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau hii nimeipata mahali, nikaona si vibaya kushea na wanaJF. Ndugu zangu, maisha ya kimapenzi yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana kwani kuna changamoto nyingi zinazoweza kujitokeza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sijui kama ni sawa au si sawa, msaidizi wangu wa kazi ameniambia kuwa anataka likizo ili aende kwao, hilo kwa roho za kibinaadamu naona ni jambo zuri sana, lakini anataka na mshahara wa mwezi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alikuwa Uarabuni kikazi. Alipokuwa anakaribia kumaliza mkataba wa kazi, huku kwao wakamfanyia utaratibu wa kumpata mwenza. Ndoa ikafanyika akiwakilishwa na mtu mwingine. Siku iliwadia...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Bofloooooo
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Majuzi hapa kuna mdada nilimsimamia ndoa yake kwa bahati mbaya nikapata habari kuwa kafiwa na baba mkwe kilichonisikitisha ni kuwa yule binti na mmewe walisafiri kwenda msibani siku ya kuzika na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Attraction. Mwenzi wako uliyenae anakuvutia kiasi gani?!Akikushika kwa hisia unatamani ukaribu wake au ni kama gari inayohitaji kusukumwa ndo iwake?! Katika vitu ambavyo naamini vinaweza...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Jamani tuwalinde vijana wetu miaka inavyo zidi kwenda ndo wanazidi kuharibikiwa. Mtoto wa mwenzio ni wako jamani mnaona milegezo hiyo?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
50 Things That Girls Should Know About Guys 1. Guys aren’t psychic, mind telling them what you mean? 2. Guys don’t like to be used as pawns in trying to make your friends jealous. 3. Guys tend...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Closed
Wadau kunadada mmoja toka Arusha kabila ni muiraq, namkubali sana sana sana, lakini sijajua wasifu wa kabila hili, nawaombeni mnisaidie tabia na tamaduni la kabila hili kwa wale wanaolifahamu...
0 Reactions
98 Replies
35K Views
Umezaa watoto wako wawili ukiamini wanatosha kwa maisha ya sasa. Mmeo kwa sasa ndio mkubwa kwao na pia wanakaka yao ambaye alikuwa ni mkubwa kwake akafariki na kuacha mototo mmoja wa kuime jina...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukitaka mwanamke siku hizi ni wengi nabidhaa ipo kila sehemu wa buree kabisa ama bei sawa na bure kama vile bidhaa ya maji ya kunywa katika jiji la Dar! Ukimsalimia tu kalainika, contacts anatoa...
2 Reactions
146 Replies
10K Views
Happy workers day jana wana JF naamini wengi wetu hapa tumeajiriwa kwenye ofisi mbalimbali na wachache wamejiajiri.........ni sawa! tukirudi kwenye uhalisia wa maisha ya kila siku;pamoja na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu. Sifa: 1.Mkristu. 2. Age range from 24-28 yrs old. 3. Usiwe ushatowa mimba . 3. Uwe na upendo wa dhati. 4. Education level; Form 4...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Tukubali tukatae wapo ambao wanatamani dunia irudi nyuma ili ndoa zao zife,kwani wanashindwa kufanya hivyo sasa kwa sababu ya kidini au za kutokujiamini!Ngoja nikwambie kitu,hakuna Mungu...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
..,Nampenz nimekaa nayesasa nimiaka miwili na miez kadhaa lakin sijawah kusex nayehatasiku moja kila kimchombeza anasema wakati badohujafika..,ananipenda kwel au anazingua? nampango wakumpiga...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Back
Top Bottom