Wana jamvi najikujua ki style hii
naomba kuja makabila watani wak na kama kuna historia ya utani huo ulianzaje sio vibaya kwa faida ya wengi kama mim tusio jua
haya uwanja wa wanaojua historia hizo jimwayemwaye...........
naomba kuwasilisha jamvini
kujikujua au KUJIKUNJUA? kuja au KUJUA? next time andika vizuri...
Mbinu kwishney!