Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
Mama kama unataka ndoa yako idumu na mume wako akupende sana, kama una haousegirl jitahd kumkabidhi mzee atembee nae huko huko ndani,na usimnyanyase kwa kuwa ni mke mwenzio wa ukweli, mume atakupenda na utakuwa mwanamke a pekee. Mume atakuwa nawah kurudi nyumbani na kingine mshauri aongeze mke muwe wawili watatu ili usijisahau na usiwe na wivu kwa sababu wivu kwa mwanamke hauruhusiwi wivu ni kwa wanaume tu. ( si maneno yangu hayo wanajamvi ni maneno ya bwana anayejiita NABII TITO ameyaandika kwenye kijipamphlet chenye title KUNYWA POMBE NA KUZAA NA HOUSEGIRL SIO DHAMBI KABISA.)