Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Imekaaje siku umepost thread ya kutafuta gf/bf huku jf. Then anajitokeza mtu ambaye yuko serious mnapanga kukutana. Unexpectedly unakuta ni dada/kakaako ambaye alikua anakusisitiza sana...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Unahisi unampenda?ndio swali lilo fatia..... Nikashindwa kumjibu mzee yule na maneno yakaanza kumtoka ohh.....mtoto mdogo unapenda wakubwa hujishangai wewe..... Kwa haraka nikaanza kusukuma ring...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imekuwa alfajiri, simu yangu inaita, naipokea na kusikia sauti ya kike, anajitambulisha kuwa ni mke wa rafiki yangu. Nahamaki kwa kudhani jamaa amepatwa na ajali au vipi kwani nae ni mlevi kwa...
0 Reactions
86 Replies
7K Views
Wana JF mapenzi ni kama manati inabidi kila mmoja wenu asiachie kwani akiachia yanaumiza sana, nakaribisha michango kuunga hoja au kukataa!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
It looks like women do all this to please us. We must be the culprits to blame for presence of artificial women in society. any dispute about that?
0 Reactions
4 Replies
909 Views
hey guyz mapenz nadhan yanajulikana na kila mtu anayajua ni mazuri hadi yanaleta furaha kupita kiasi ila bwana yanaumiza pia kupita kiasi so PlZ TOA MAWAZO AU TUPE EXPERIENCE YAKO YA UCHUNGU...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Kila mmoja wa wana MMU akiulizwa hapa kiwango chake kipo vipi katika sex atasema yupo fit. Kinabaki kimshangao kimening'ang'ania kikiniuliza ndani ya nafsi yangu hao waliopo uraianai...
5 Reactions
260 Replies
25K Views
Leo kuna baadhi ya magazeti ya memripoti daimond kuwa ana mganga wa mapenzi hapana naweza kulikataa swala zima la kusema kuwa diamondi anadawa ya mapenzi bali baadhi ya watu wamenukuu vibaya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana Jukwaa, Mimi ndugu yenu napenda kuchukua muda na fursa hii kuwaombeni msaada wa mawazo/ushauri. Mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 22 na bado sijahamua kuingia kwenye ulimwengu wa...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
wana mmu wa mbeya!nimeingia mbeya sekunde hii,nipo hapa fm guest house! naomba mwenyeji ajitokeze atupeleke sehemu yenye kitimoto ya ukweli ya kuchoma!nasisitiza kitimoto ya kuchoma first...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Ktk maisha tulio nayo, vijana wengi tumekosa muelekeo kwa sababu ya kujihusisha ktk masuala ya kimapenzi hali hatujajianda na hatima yake tumekuwa ni watu akulalamika kwamba tatupendwi wengine...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
......ndipo ilipo furaha yangu. Kuna msichana mmoja kusema ukweli nampenda sana na nshawahi kumwambia ila bado hajanijibu. Kiukweli nshawahi kuwa na uhusiano wa muda mfupi na rafiki yake wa damu...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
No matter what you've been through, no matter what happened into your life, just know that.. Have a lovely weekend Kazin's..!
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Najua Above 18 mtanielewa tu. Nimepata kuisikia kwa wanaume kadhaa kuwa pale wanapokuwa na magari yao wanapoendesha kuelekea kileleni huwa wanajenga fikra za kuendesha magari mengine. Yaani...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
I'm 26yrs old male,persuing a bachelor degree in one of the Universities in dar.I need a girlfriend with a significant understanding capacity, who can confidently argue intelligently, with...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
mapema ni Sawa na kutafuta kitu cheus titi ndani ya giza jeusi totoro so my yangest star they should save there energy and store it still the appropriate time
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninapoandika waraka huu ni dakika moja baada ya kumalizika birthday yako.Hongera. Binafsi nimekuwa memba yapata muda sasa ndani ya jamvi hili la jf.Kama ni kuona nimeona mengi humu.Kwa kifupi i...
9 Reactions
84 Replies
5K Views
hii kitu nimekuwa nikijiuliza sana 1. kwanini inakuwa ngumu kuacha kufuatilia anayofanya ex wako though mlishabreak up.... tena wataka kujua anatoka na nani na yakoje mahusiano yao 2. kwanini...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
...kina dada hunishangaza, pamoja na kutaabika kujibebesha mizigo kama hii, kwanini Khanga haikosekani kwenye mikoba yenu??? Eti watu wazima wenzangu, nini siri ya Khanga hizo, wanaenda nazo...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
Je! Mke kuwafukuza nyumbani ndugu wa mme wake wakati huo anakaribisha ndugu zake ni halali? Dawa yake ni nini?
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Back
Top Bottom