matron
Member
- Nov 16, 2011
- 66
- 56
Majuzi hapa kuna mdada nilimsimamia ndoa yake kwa bahati mbaya nikapata habari kuwa kafiwa na baba mkwe kilichonisikitisha ni kuwa yule binti na mmewe walisafiri kwenda msibani siku ya kuzika na asubuhi iliyofwata wazazi wa binti wakaja kuzugazuga hao wakasepa zao na kijana aliyefiwa na baba plus mkewe,hii ilinishangaza sana hadi sasa sina jibu au ndio mambo ya kimjini?Naombeni darasa kwa hapa jameni.
Nawasilisha
Nawasilisha