Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

ADVICE TO MEN (GUYS): Dear men, 1. Having many girlfriends does not make you a man. It only makes you a womanizer and a cheat and a boy. 2. A real man has only one woman in his life. 3. For...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Kama uko tayari dm,kwa wadada na wamama tu
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Najiuliza sipati jibu. Nadate wamama watatu kwa wakati mmoja. Kila mmoja anajifanya ananipenda sana, wananiganda sana kila mtu kwa wakati wake. Kila mtu anajifanya ananijali sana. Sio mimi tu...
1 Reactions
96 Replies
9K Views
Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa.. yani unampenda mtoto wa wenyewe hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu Akikuita tu "my love"unajiskia tu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za leo wapendwa wa jukwaa pendwa kabisa, Heri ya mwaka mpya kwenu wakuu! Hongereni kwa kufika mwaka 2016 salama, kama umefika na vikwazo au matatizo kama mimi jipe moyo. Hizi ni salamu...
1 Reactions
54 Replies
17K Views
Maana roho mbaya huwavuvia kinamama wa kambo na kuanza kumtesa mtoto asie mzaa yaani wa mumewe hadi Kumnyima chakula n.k.hii roho hutoka wapi na tunaamini wanawake wana huruma?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bwana wangu na mimi tuko kwenye mahusiano ni mwaka wa 3 sasa. Tulikubaliana tangu mwanzo hatutofanya hayo mambo mpka ndoa. Hivi karibuni amekuwa akinipressure na hataki kuelewa kuwa siko tayari...
1 Reactions
278 Replies
36K Views
Haya nayotaka kuwashirikisha wadau humu ndani, yamemkuta rafiki yangu wa karibu kabisa. Wanajua wapo watakaokwazika ila ukweli lazima usemwe tu, hakuna njia nyingine. Rafiki yangu alitokea...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Hi Kuna hii tabia ya muda mrefu na iliyoota mizizi ya wanaume kuomba namba za wanawake ovyo Unakuta upo kwenye dala dala let say mmekaa kiti kimoja, utashangaa baada ya salaam tu mtu...
0 Reactions
152 Replies
16K Views
Mwanamke anaweza kumuacha Mwanaume mwenye VISION nakumfuata mwenye TELEVISION lakini ipo siku atamuona mwenye VISION kwenye TELEVISION ya mume wake.:cool:;)
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanaume tumetofautiana kama ilivo wanawake hivo mapungufu ni mengi. Kama ilivo kawaida huwezi kukosa wanaume wanaopiga wake zao kwasababu zozote wengine mingumi wengine viboko hata humu JF najua...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu nimemkumbuka mke wangu wa zamani Bantu lady long time sijamwona. Mwenye taarifa zake anijulishe nahitaji tu kumsabahi nimemiss tabasamu lake matata. Mke wangu wa sasa charty hana nongwa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ni kama aina fulani ya hallucination au fashion fulani kupenda kuolewa au kuoa au kuoana na mtu wa taifa fulani hasa wazungu atu wengi hasa kinadada wanawazimia mno wazungu nk ili tu kupata half...
4 Reactions
86 Replies
10K Views
USIJIDAI MJUAJI ULIZA UNAPOKWAMA Tulipokuwa watoto, chochote ambacho tulikuwa hatujui au hatuelewi, tulikuwa tunauliza. Na wala hatukuona aibu kwamba tutaonekana hatujui.Tuliuliza bila ya kuwa na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
yani unampenda mtoto wa wenyewe hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe .. hicho kiupendo ukiwa nae...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Sijui kama ushawai fall in love ile haswaa.. Yani unampenda mtoto wa wenyewe hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu. Akikuita tu "my love"unajisikia tu...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Atakua na simu kwa nyumba kidogo kidogo anakuambia umbeep ju hajui ameweka wapi!! Tuhurumie Baba 2. Ako na furushi la nguo kwa nyumba lakini hanaga kitu ya kuvaa mkienda mahali!! Tuonekanie...
7 Reactions
24 Replies
4K Views
Mnapokuwa bado warembo na chuchu zimesimama kama kifuu cha nazi mnakuwa na dharau sana tena sana, wanaume wanapokuja kuwachumbia mnawachambua kama karanga, mwisho wa siku mnaangukia pabaya na...
52 Reactions
991 Replies
76K Views
Wanajamvi, Amani kwenu na heri ya mwaka mpya 2016. Hii ni post yangu ya kwanza hapa kwa mwaka huu wa 2016. Kufanya hivi ni kuthibitisha pia kuwa bado nipo. Matumizi haya ya id fake unaweza...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
HUWEZI KUDHIBITI KILA KITU, ACHA MAISHA YAENDELEE Kila mmoja wetu anapenda kudhibiti vitu. Kuwa na uhakika wa kile anachofanya au anachotarajia kufanya. Kila mmoja angependa kujua na kuwa na...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…