"Take Time To Know Her"
I found a woman
I felt I truely loved
She was everything
I'd ever been dreaming of
But she was bad, I didn't know it
Her pretty smile never did show it
All I knew is what...
Habari wadau,
Mimi nna mke wangu now tuna miaka nane na mtoto mmoja, tatizo mke wangu huu ni mwezi sasa yeye akitoka kazini ni kulala nikirudi au tukirudi wote yeye break ya kwanza mi nipo...
Wakuu salama,
Kipindi nipo form five,nilipata demu mmoja hivi tulie kuwa tunalingana nae hakika tulipendana sana. Baada ya kumaliza form six sote tulifaulu, tukawa tumechaguliwa chuo, lakini...
Ni mke wa mtu kila mara anazokuja kuonana na mimi hunambia mumewe anawivu sana tena sana ni vigumu kunipa namba yake ya simu juzi amenunuliwa line nyengine na mumewe atumie ile ya zaman imekatwa...
Wakuu salama.
Kama kichwa cha habari kinsvyosomeka hapo juu,nilikuwa nahitaji pata ufahamu juu ya wivu.
1.Chanzo cha wivu ni nini?.
2.Kwa nini watu wengi hasa wapenzi wanaoneana wivu?.
3.Kwa...
Za mliko?? Mimi sina mengi zaidi ya kuuliza Swali moja tu. Hivi wanawake au mabinti walioko kwenye ndoa au wanaofaa kuolewa wana sifa gani hasa?? Mana...
Habareee!
Nadhani mpo poa wakuu naomba kuona michango ya watu kidogo juu ya hili la socialization.
Hivi ukikutana na mtu kwa mara ya kwanza ni kipi unapenda agundue kutoka kwako labda ni mpenzi...
Habar zenu wanajf,
Leo nilikuwa nachart na rafiki yangu mmoja aliyeko nje ya nchi,katika maongezi yetu akaniambia kuwa kapata mchumba Tz nikamwambia akanitajia jina nikalifananisha na la mpenzi...
Twin prostitutes, 70, retire from being full-time sex workers after sleeping with a combined 355,000 men during their 50 year career. The senior citizen call girls successfully worked Amsterdam’s...
KABLA HUJAMNYOOSHEA MTU KIDOLE, KABLA HUJAMLAUMU MTU, KABLA HUJAMLALAMIKIA MTU, JARIBU KUVAA VIATU VYAKE NA UJIULIZE UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI?
Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho, ni...
Sisi binadamu ni viumbe wa kujumuika, na moja ya lengo letu kubwa kwenye maisha ni kuhakikisha hatupo peke yetu, kuna watu ambao wako sawa na sisi na tupo pamoja nao.
Turudi nyuma kidogo wakati...
Inashangaza sana katika dunia hii bado pesa ni kipimo cha upendo, hasa kwa wanawake kupima mwanaume. Hivi ile ajenda ya 50/50 huwa ni theory tu? Yani kuomba pesa kwa kuziita 'vocha', zawau...
Nimecopy na kupaste. Nashukuru aliyetengeneza list. Nimebadilisha kidogo, maneno Mengine yalikuwa makali....
1)Kumuingilia bila romance
Kosa kubwa sana kwani ili asikie raha na akupe...
Salamu kwenu waungwana wa jukwaa hili.
Salamu pia ziwaendee wale walokole wa mitandaoni wakati nje ya mitandao wanajijua wenyewe vile waishivyo.
Binafsi ni mdau mzuri wa facebook (hasa kipande...
Tangu zamani ni wavulana ambao walikuwa wanaona sifa kuwa katembea na wasichana. Kwa kawaida wasichana walikuwa wasiri sana hata akikukubali basi atakudanganya kuwa alibakwa kubikiriwa na hajawahi...
Mambo vp. eti ni swali gani ambalo hupendi kuulizwa? binafsi sipendi kuulizwa eti
1.Utaoa lini?
2.Kwa nini mliachana?
3.Unafanya nini?
nafungua mjadala rasmi karibuni
Hello, I'd love to correspond to the above mentioned pple, I'm simple, charming and easy to get along with. Indeed a gentleman. Friends of all gender pls. Karibuni sana.
wmerwis@gmail.com...
Hi guys,
Happy new year,
I hope all of u r ok.
Nipo hapa ku apologise kwa maneno ambayo hamkupendezwa nayo ktk mrejesho wangu, I didn't mean to offend anyone, neshwa na wording ktk maandishi...
Mimi kama mwanaume nimekutana na hii mara nyingi sana yani dada umempa lift kwenye gari baada ya salamu anauliza unafanyia wapi kazi ukimwambia nipo TRA anakuomba namba ya simu ukimwambia mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.