Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.
4 Reactions
157 Replies
19K Views
Wanajamvi Heri ya mwaka mpya, Wakuu Kuna hii tabia ya vibinti vyetu vya Leo yani ukiwa nae miezi miwili tu bila kujua Kuna wenzake wengine nao wapo kwenye chujio maalumu. Basi wanaanza kero zao...
2 Reactions
78 Replies
8K Views
The more we argue the more we fall in love every life has up and down i do belive no one can set us apart except death let them judge me my love let them think the way they want i ain't regret to...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
My love i have found this site jamiiforums it's very interesting with amazing people some understand how i feel some they don't others told me to put effort while others hates me but i can't feel...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions. Ningependa mhusika...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Namwomba mungu anipe mchumba mwema,karibu kwa maoni na ushauri wadau wa jf
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heri ya mwaka Mpya wana MMU, natumai wote ni wazima kwa kudra za mwenyezi Mungu tumeona tena Mwaka. Leo ningependa tujikumbushe jambo dogo sana katika maisha Yetu tuwapo hapa duniani hasa katika...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Yaani wapo jamani Mungu kawapendelea ni warembo hata wanawake wenzao wanawakubali yaani kuanzia sura, kifuani,kiunoni, hips, huko nyuma, guu. Mimi nimeona niwaeleze hayo, mwenye picha ya mfano...
2 Reactions
104 Replies
78K Views
Hivi mnawajengea ujasiri mabinti zenu waweze kujiamini na kujitegemea? au nanyi mwaona powaa wakipendeza bila nyie kujua anayempendezesha?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna dada mmoja wa kizungu ambaye tumejuana na tunawasiliana kupitia mitandao ya kijamii, urafiki wetu una miaka zaidi ya mitatu lakini simfahamu zaidi ya kutumiana mapicha, katika maongezi yetu...
2 Reactions
70 Replies
8K Views
MNASHINDWA KWENYE MAMBO MENGI KWASABABU HAMPO MAKINI , BADILIKENI Kukosa umakini kwenye vitu ambavyo tunafanya kumekuwa chanzo cha matatizo makubwa sana. Watu wengi wamepata hasara kubwa, watu...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama wewe ni mwanaume, basi bila shaka unafahamu ile milio na miguno ya wanawake wakati wa kujamiiana, na kama wewe ni mwanamke pia unafahamu kwamba huwa unatoa milio na miguno hiyo. Ni nini...
2 Reactions
60 Replies
37K Views
Mwalimu mmoja aliita wanafunzi wake, Akawaambia''Kesho kila mwanafunzi aje na nyanya kulingana na idadi ya watu anaowachukia, yaani kama unamchukia mtu mmoja uje na nyanya moja kama ni wawili basi...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
UBONGO WAKO NI KAMA AKAUNTI YA BANK UNACHOWEKA NDICHO UNACHOTOA JUMLISHA NA FAIDA UKIWEKA CHUKI / WIVU / DHARAU / FIKRA HASI ZINATOKA HIZO HIZO ILA VYOTE VINA DAWA, AMBAYO NI.... Kuna hisia...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu ZANGU, Naitwa Udangu, baba yangu anaitwa Mafudu, baba yangu ana mke aitwaye Salima ambaye ni mama yangu mlezi. Salima ana dada yake aitwaye Fatima, na huyu Fatima ana mtoto aitwaye...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Mm naitwa moody kabwe nina umri wa miaka 28 Nahitaji mke wa kuo ila mimi kwa sasa sina kazi niliachishwa kazi kipindi cha kampeni za uchaguzi na bos wangu yeye ni ccm baadala ya mimi kutekeleza...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Sure!, ni kweli kabisa kuwa men wanao complain frequently through social media na networks are more likely to suffer from stress, anxiety na wengine wana some form of depression lakini wa leo hii...
7 Reactions
59 Replies
5K Views
Naishi na binti mmoja wa kinyaramba....alisafiri kwenda singida kusalimu ...kwao sifahamiki lakini mama mkwe mtarajiwa kafurahi utadhan ananijua kwa sura....mwanae anavyorudi dar kampa zawadi ya...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Contact email chugaraa.tz@gmail.com or inbox me PM
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Ningependa kusikia maoni juu ya hili, Kwa upande wa wanaume kuna tofauti gani kati ya mke wa kutafutiwa yaani hapa ni kwamba wazazi wako au bibi na babu wanakuunganishia kwa msichana...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Back
Top Bottom