Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Sijui kama ushawai fall in love ile haswaa.. Yani unampenda mtoto wa wenyewe hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu. Akikuita tu "my love"unajisikia tu...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Atakua na simu kwa nyumba kidogo kidogo anakuambia umbeep ju hajui ameweka wapi!! Tuhurumie Baba 2. Ako na furushi la nguo kwa nyumba lakini hanaga kitu ya kuvaa mkienda mahali!! Tuonekanie...
7 Reactions
24 Replies
4K Views
Mnapokuwa bado warembo na chuchu zimesimama kama kifuu cha nazi mnakuwa na dharau sana tena sana, wanaume wanapokuja kuwachumbia mnawachambua kama karanga, mwisho wa siku mnaangukia pabaya na...
52 Reactions
991 Replies
76K Views
Wanajamvi, Amani kwenu na heri ya mwaka mpya 2016. Hii ni post yangu ya kwanza hapa kwa mwaka huu wa 2016. Kufanya hivi ni kuthibitisha pia kuwa bado nipo. Matumizi haya ya id fake unaweza...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
HUWEZI KUDHIBITI KILA KITU, ACHA MAISHA YAENDELEE Kila mmoja wetu anapenda kudhibiti vitu. Kuwa na uhakika wa kile anachofanya au anachotarajia kufanya. Kila mmoja angependa kujua na kuwa na...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
SOMA HAPA UTAWEZA KUJIFUNZA KITU Mwalimu mmoja wa Darasa aliwaiita wanafunzi wake akawaambia ''Kesho kila mwanafunzi aje na nyanya kulingana na idadi ya watu anaowachukia, yani kama unamchukia...
9 Reactions
19 Replies
4K Views
ACHA KUJILINGANISHA NA WATU WENGINE KWANI WEWE NI BORA ZAIDI YAO Kuna mtu ambaye ni mrefu kuliko wewe, au mfupi kuliko wewe au mzuri kuliko wewe. Kuna mtu ambaye kazi yake au biashara yake ni...
5 Reactions
17 Replies
4K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47!Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virus vya UKIMWI ili awe mke wangu na tuishi maisha ya matumaini sina vigezo vingine na sina ubaguzi wowote wa umri...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Suala la mwanamke kuzaa pasipo kuolewa sio geni siku hizi. Kuna wimbi kubwa la wanawake waliozaa bila kuolewa. Si lengo langu kuzungumzia sababu ya uwepo wa wanawake waliozaa bila kuolewa, lakini...
11 Reactions
92 Replies
24K Views
Fikiria kwamba umeoana na mwanaume/mwanamke na mnaishi kwa amani. Ikatokea mmoja wenu hana uwezo wa kuzaa au kubeba/kubebesha mimba utafanyaje? Mmehangaika sana bila mafanikio yoyote na umri...
1 Reactions
76 Replies
8K Views
Mwanaume mmoja aliwatongoza wanawake watatu tofauti na nia yake ni kufanya upembuzi yakinifu ili mmoja wao awe mkewe. Hivyo jamaa aliamua kuwapa jaribio kwa kuwapa Tsh. 500,000/= kila mmoja huku...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
I need a muture person to talk to tafadhali si mapenzi wala kutongozana I need advice a single mom am so confused please
0 Reactions
41 Replies
7K Views
NAANDIKA HUU UZI NIKIWA KAMILI KITHAIKOLOJIANilikaa nikajiuliza iweje niteseke kiasi hiki? nilifikia hatua ya kumlaumu MunguEmmanuel Michaelkmkumbe sikujua kuwa God angenipatia mtu kama wewe...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Kumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.
4 Reactions
157 Replies
19K Views
Wanajamvi Heri ya mwaka mpya, Wakuu Kuna hii tabia ya vibinti vyetu vya Leo yani ukiwa nae miezi miwili tu bila kujua Kuna wenzake wengine nao wapo kwenye chujio maalumu. Basi wanaanza kero zao...
2 Reactions
78 Replies
8K Views
The more we argue the more we fall in love every life has up and down i do belive no one can set us apart except death let them judge me my love let them think the way they want i ain't regret to...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
My love i have found this site jamiiforums it's very interesting with amazing people some understand how i feel some they don't others told me to put effort while others hates me but i can't feel...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions. Ningependa mhusika...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Namwomba mungu anipe mchumba mwema,karibu kwa maoni na ushauri wadau wa jf
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heri ya mwaka Mpya wana MMU, natumai wote ni wazima kwa kudra za mwenyezi Mungu tumeona tena Mwaka. Leo ningependa tujikumbushe jambo dogo sana katika maisha Yetu tuwapo hapa duniani hasa katika...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom