Hata baada ya kupata kazi, bado ameaniachia mimi majukumu yote ya ndani

bobby dolat

Senior Member
May 18, 2015
167
263
Wadau amani iwe kwenu

Mke wangu amekua mama wa nyumbani kwa muda mrefu, hivyo majukumu yote yakawa yangu peke yangu, ikiwemo, kodi ya nyumba wakati huo tumepanga, ada za shule, bills mbambali, food, clothing etc.Hii ni mbali na msaada wa fedha na vitu wanaoomba wazazi wake mara kwa mara, yote haya ni mm peke yangu, ingawa kodi ya nyumba kwa sasa haipo tena

Baada ya mateso haya, 2013 nikalazimika kumpeleka wife chuo japo akachukue diploma, amemaliza mwaka jana, na November akawa ame graduate. Mungu si athuman, December, kupitia kwa jamaa yangu wa siku nyingi wife akapata kazi hapo anapofanya huyo jamaa, ilikua ni bahati tu kwa kweli, tukashukuru sana.

Hiyo December alipata mshahara wa kwanza, na jan anatarajia mshahara wa pili, cha kushangaza amekaa kimya, nilitarajia mshahara wake wa kwanza aje nao mezani then walau aseme atachukua jukumu lipi kati ya yale niliyonayo mimi ndani, lakini wapi yupo kimya, hata tu kuniambia tu anapata bei gani hamna.

Wadau hii ni kawaida?

What difference does it make? Si aengeendelea tu kuwa mama wa nyumbani kama ndo hivi?
 
Wadau amani iwe kwenu

Mke wangu amekua mama wa nyumbani kwa muda mrefu, hivyo majukumu yote yakawa yangu peke yangu, ikiwemo, kodi ya nyumba wakati huo tumepanga, ada za shule, bills mbambali, food, clothing etc.Hii ni mbali na msaada wa fedha na vitu wanaoomba wazazi wake mara kwa mara, yote haya ni mm peke yangu, ingawa kodi ya nyumba kwa sasa haipo tena

Baada ya mateso haya, 2013 nikalazimika kumpeleka wife chuo japo akachukue diploma, amemaliza mwaka jana, na November akawa ame graduate. Mungu si athuman, December, kupitia kwa jamaa yangu wa siku nyingi wife akapata kazi hapo anapofanya huyo jamaa, ilikua ni bahati tu kwa kweli, tukashukuru sana.

Hiyo December alipata mshahara wa kwanza, na jan anatarajia mshahara wa pili, cha kushangaza amekaa kimya, nilitarajia mshahara wake wa kwanza aje nao mezani then walau aseme atachukua jukumu lipi kati ya yale niliyonayo mimi ndani, lakini wapi yupo kimya, hata tu kuniambia tu anapata bei gani hamna.

Wadau hii ni kawaida?

What difference does it make? Si aengeendelea tu kuwa mama wa nyumbani kama ndo hivi?
hiyo kawaida sana wenye wake tunalijua hilo,tena afadhali wa kwako ana miezi miwili tu,mimi wangu tangu 2011 na tena wakati mwingine ananiambia hana hela ya kula inabidi nimpe,gari namuwekea mimi mafuta ya 70,000 kila week,pole mkuu karibu kwenye ndoa.
 
Kijana !!hapo chamuhimu nikujua kiwango cha mshahara apatao kazini, lakini kuhusu matumizi wee muache na pesa yake labda apende yeye kuhudumia baadhi ya mambo hapo nyumbani. .Ila kwakuwa utakuwa na hakika anakipato kwa sasa huduma zinazo muhusu yeye binafsi achana nazo atasimama mwenyewe kama salon, nauli (kama hana gari),kusaidia kwao n.k. .Wewe muhimu ujue kipato chake mana usipo jua napo kunamadhara wenzako watamnunulia magari ukidhani ni mshahara wake
 
Hahaha. Siamini! Matumizi ya mwanamke ni mengi aisee, siwezi imagine ningekuwa mwanaume afu niwe na mke mama wa nyumbani! Sijipatii picha nikiwa mama wa nyumbani, im glad paw anaona fahari pia kunihudumia
Hakuna jambo ninalolipinga kama mtu kumruhusu mkewe kufanya kazi.......

MAUMIVU YA KICHWA HUANZA POLE POLE...
 
hahahaha.....wewe bwana ukiamua kuoa kaa ukijua mshahara wa mkeo ni wake peke yake usiwe na matarajio yoyote.
wewe unachotakiwa kudai kwake ni papuchi, watoto na kuendelea kuwa sexy basi.
 
Huo ni km uchoyo /umimi fulan kwel jaman Waume tuwasaidie mambo yakizamani tuyaache mshahara tugawane majukumu mapenz ni kusaidiana pole ndugu labda mwelimishe anaweza fkiri ur fine with that kumbe ur'nt so communication it's important
 
Back
Top Bottom