Mambo vipi watanganyika wenzangu?ebana kuna haka katabia kamekua kwa kasi hasa maeneo ya mijini,kwa mfano kama mwanaume umeongozana barabaran na mpenzi wako,basi huyo mpenzi wako atajishebedua kwa...
Tarehe kama ya leo 2012 naikumbuka baada ya binti Roda mtoto toka Mbeya kuamua kuniweka wazi jambo hili wazi. Ilikuwa ni kama bahati kwangu baada ya kumtongoza kwa muda mrefu na kufanikiwa...
Habari zenu,
Hivi kwanini wanaume ambao hawanywi au hawatumii pombe husakamwa kua ni walevi wa wanawake?
Nini kinawafanya watu wawafikirie vile au ni kuwaonea wivu kua hawanywi wanaokunywa...
Amekuomba urafiki facebook.
Umeangalia picha zake
Anaendesha Range
Anaonekana ni jamaa mwenye uwezo
Umemkubalia urafiki
Amekutumia text inbox
Umemjibu
Amekuomba out
Mkapanga kuonana
Ukajikwatua...
Wengi wanaoomba mahusiano ni wanaume. Si tatizo kwani hata katika dunia halisi hali ni hivyo. Mwanamke anapoomba mahusiano hupata mafuriko ya maombi. Ni tofauti na mwanaume anapoomba/hitaji...
1) Mwanamke anavuta shisha au sigara: unamkuta most of the time yupo kwenye vile vijiwe vyao vya kuvuta halafu wahuni kibao wamejaa mule, sometime hata drugs wanachanganya mule kwenye kile kibobo...
Hii mada haiwahusu wanawake walioolewa na wanaume wenye miili ya 'kunenepa kwa ndani' yaani wale hata umlishe na mirija utachemsha tu, mwili hautokezi ng'oooo!!
Pia haiwahusu wale ambao wako...
Blood, sweat and tears: Poignant pictures capture women during childbirth and the first joyous moments of bonding with their newborn babies
Photographer Leilani Rogers started the Public...
Jamani mapenzi, yananitatiza, Kulala siwezi, kusema siwezi
Chakula sitaki, nakiiona sumu, Mapenzi yamenivaa, nami ugenini
Akili imenipaa, hata njia siioni, Mapenzi yana hadaa, ya kweli...
Salaam ndo jadi ya muugwana nami naanza nayo,
Habari zenu?
Kama kichwa kinavosema ndio hali halisi.Tanzania yetu hii imejaa kila kona waganga wa kienyeji na tiba asili wakijinadi kuwa na dawa ya...
Rejea kichwa cha habari hapo juu!!!
Ukipita kwenye mitandao mingi ya kijamii,utagundua kuwa vijana wa kiume ndio wanaojitokeza zaidi kuomba mahusiano kwa kutumia mitandao hiyo,mfano hata humu...
Mimi ni binti nilikuwa kwenye uhusiano na mpenzi wangu kwa miaka minne toka yeye akiwa first year chuo flani hivi, mimi kielimu ninamalizia certificate ya lab tech mwaka huu ikiwa yeye amemaliza...
Mshkaji kamtongoza my wife. My wife kapiga kimya, asinambie. Yamenikuta wa ukae.
To cut the long story short, nna rafiki yng ambae tulikotoka mpk hapa tulipo, inatosha kusema ni ndg.
Ghafla...
Wakuu habari,
Nimekuwa member wa JF since 2012, tangu wakati huo sijawahi kuanzisha thread yeyote isipokuwa nimekuwa mchangiaji wa baadhi ya mada zinazowasilishwa JF sanjari na kusoma thread...
habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza;
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, mkristu,mweusi kwa rangi(chocolate), elimu yangu ni ya ngazi ya shahada, ni muajiriwa serikalini.
ninatafuta...
Nimeajiriwa serikalini mshahara Wangu wa kawaida sana yaani mshahara wa graduate kila Siku nimatatizo ikifika tarehe10 Sina kitu nikiangali nilichofanya sikioni jamani nitumie kanuni gani less...
Nasikia yapo maneno ambayo ni hatari sana kwa wanandoa kuleta doa kwenye ndoa yao na hata kuhatarisha mahusianao kuvunjika.
Yamkini umo humu na uliwahi kuambiwa neno ambalo bado linakugusa sana...
Habari za mchana wana Jf's
Jamani kuna jambo limenitokea kwa hiyo naomba ushauri wenu kwani naamini nikichanganya na zangu hapa ni mahali sahihi.
Ni leo usiku ambapo pamoja na kwamba mke wangu...