Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Blood, sweat and tears: Poignant pictures capture women during childbirth and the first joyous moments of bonding with their newborn babies Photographer Leilani Rogers started the Public...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, Mimi ni kijana nina miaka 40.Nimepata mchumba anamiaka 22.Je nikimuoa tofaut ya umri inaefect baadae kwenye mahusiano?
0 Reactions
73 Replies
9K Views
Jamani mapenzi, yananitatiza, Kulala siwezi, kusema siwezi Chakula sitaki, nakiiona sumu, Mapenzi yamenivaa, nami ugenini Akili imenipaa, hata njia siioni, Mapenzi yana hadaa, ya kweli...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Salaam ndo jadi ya muugwana nami naanza nayo, Habari zenu? Kama kichwa kinavosema ndio hali halisi.Tanzania yetu hii imejaa kila kona waganga wa kienyeji na tiba asili wakijinadi kuwa na dawa ya...
3 Reactions
10 Replies
13K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu!!! Ukipita kwenye mitandao mingi ya kijamii,utagundua kuwa vijana wa kiume ndio wanaojitokeza zaidi kuomba mahusiano kwa kutumia mitandao hiyo,mfano hata humu...
0 Reactions
165 Replies
14K Views
Mimi ni binti nilikuwa kwenye uhusiano na mpenzi wangu kwa miaka minne toka yeye akiwa first year chuo flani hivi, mimi kielimu ninamalizia certificate ya lab tech mwaka huu ikiwa yeye amemaliza...
1 Reactions
69 Replies
12K Views
Mshkaji kamtongoza my wife. My wife kapiga kimya, asinambie. Yamenikuta wa ukae. To cut the long story short, nna rafiki yng ambae tulikotoka mpk hapa tulipo, inatosha kusema ni ndg. Ghafla...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Wakuu habari, Nimekuwa member wa JF since 2012, tangu wakati huo sijawahi kuanzisha thread yeyote isipokuwa nimekuwa mchangiaji wa baadhi ya mada zinazowasilishwa JF sanjari na kusoma thread...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza; mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, mkristu,mweusi kwa rangi(chocolate), elimu yangu ni ya ngazi ya shahada, ni muajiriwa serikalini. ninatafuta...
1 Reactions
90 Replies
8K Views
Nimeajiriwa serikalini mshahara Wangu wa kawaida sana yaani mshahara wa graduate kila Siku nimatatizo ikifika tarehe10 Sina kitu nikiangali nilichofanya sikioni jamani nitumie kanuni gani less...
0 Reactions
73 Replies
13K Views
Nasikia yapo maneno ambayo ni hatari sana kwa wanandoa kuleta doa kwenye ndoa yao na hata kuhatarisha mahusianao kuvunjika. Yamkini umo humu na uliwahi kuambiwa neno ambalo bado linakugusa sana...
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Habari za mchana wana Jf's Jamani kuna jambo limenitokea kwa hiyo naomba ushauri wenu kwani naamini nikichanganya na zangu hapa ni mahali sahihi. Ni leo usiku ambapo pamoja na kwamba mke wangu...
2 Reactions
46 Replies
6K Views
Wasalam! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, umri 18-25 Kwa maelezo zaidi pm
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habarini wadau, Kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimekuwa na mpenzi wangu kwa mahusiano ya kimapenzi kwa muda wa miaka miwili sasa, ila tatizo lake ni pale tunapokuwa tunakutana kimwili huwa...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
ACHA MAISHA YA ZIMA MOTO Watu wanaofanya kwenye idara ya zima moto kazi yao ni moja tu, kusubiri moto utokee na kwenda kuuzima. Kama hakuna moto, hawana kazi kubwa, ila moto unapotokea ndipo...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33 , natafuta rafiki wa kike ambae tukikubaliana na kuelewana tutaanzisha familia .awe na elimu yoyote,kabila lolote,rangi yoyote ila awe msafi tu.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi guys Hivi karibuni tulikua tunasuluhisha mgogoro wa ndoa wa family friend ambapo niliombwa na kikao kuongea na mwanamke aniambie shida ni nn hasa maana amekua akimsumbua mumewe kwa uzinzi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Hizi ni Njia 11 za kumfanya mpenzi asitoke nje 1. TAMBUA THAMANI YAKE Unapokuwa Umeapa Kuwa Utampenda Mwenzako Hadi Kifo Kitakapowatenganisha, Uwe Umefanya Hivyo Kwenye Nyumba Ya Ibada Au...
2 Reactions
7 Replies
10K Views
salam kwenu wote member jf natarajia kwenda nchin kenya jiji la nairob kikaz naomba kufaham mnijuze mlioko huko au ambao mmeshaakaa huko madem wa huko n km wa bongo au mda wowote una aploch au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom