Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,290
- 2,468
Wengi wanaoomba mahusiano ni wanaume. Si tatizo kwani hata katika dunia halisi hali ni hivyo. Mwanamke anapoomba mahusiano hupata mafuriko ya maombi. Ni tofauti na mwanaume anapoomba/hitaji.
Pale mwanaume anapoomba mahusiano basi hutokea wanawake kadha wa kadha na inakuwa ni ngumu kubaini uchomoke na yupi (hasa kwa sehemu kama JF).
Cha kufurahisha hapa ni pale kibao kinapogeuka na mwanaume kuonekana kumfukuzia yule aliyeleta maombi. Kiukweli inakuwa ni ngumu sana kuweka commitment kwa mtu ambaye hujui yukoje.
Hii ni rahisi sana kwa wanawake kwani wao inakuwa ni rahisi sana kwao kumuamini, kumpenda na kujiaminisha kwa mtu ambaye hata hamjui kwa vyovyote isipokuwa kwenye mawazo tu. Ni mbaya sana.
All in all ni adventure za watu, na watu wamekutana, pendana, oana na kujenga familia kwa njia kama hizi
Pale mwanaume anapoomba mahusiano basi hutokea wanawake kadha wa kadha na inakuwa ni ngumu kubaini uchomoke na yupi (hasa kwa sehemu kama JF).
Cha kufurahisha hapa ni pale kibao kinapogeuka na mwanaume kuonekana kumfukuzia yule aliyeleta maombi. Kiukweli inakuwa ni ngumu sana kuweka commitment kwa mtu ambaye hujui yukoje.
Hii ni rahisi sana kwa wanawake kwani wao inakuwa ni rahisi sana kwao kumuamini, kumpenda na kujiaminisha kwa mtu ambaye hata hamjui kwa vyovyote isipokuwa kwenye mawazo tu. Ni mbaya sana.
All in all ni adventure za watu, na watu wamekutana, pendana, oana na kujenga familia kwa njia kama hizi