ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,802
- 60,648
Tarehe kama ya leo 2012 naikumbuka baada ya binti Roda mtoto toka Mbeya kuamua kuniweka wazi jambo hili wazi. Ilikuwa ni kama bahati kwangu baada ya kumtongoza kwa muda mrefu na kufanikiwa kumnyaka japo kwa kulazimisha sana na hata ilipofika time ya kumuomba mzigo bado aliendelea kunikatalia.
Kiukweli nilimlazimisha sana tukifanya nae romance kwa wingi lakini kila nikitaka kuingiza alikataa katakata, nilisumbuka naye sana zaidi ya mara 7 namvua nguo lakini wapi, namchezea analegea macho lakini nikijitahdi hata kutaka kumbaka aliendelea kunikataa nifanye naemapenzi , sikuwahi kuwaza matumizi ya condom kipindi hicho na hii ni mpaka leo.
Sikuwahi kumtukana wala kudharau maamuzi yake. Alinipenda kwa kweli nadhani mabinti wote wapo hivo wana huruma sana akikupenda hataki kukuona ukiteseka
Nimekumbuka siku aliyoniita na kunieleza ukweli kuwa yeye ni muathirika alimbukizwa na babu mmoja hukohuko kwao Mbeya na hakuhitaji kufanya makusud kunirushia ugonjwa,
niliishia kumshukuru.
Nafurahi kumwona mpaka sasa akiwa mwenye afya na anaendelea na maisha yake na biashara zake za kuuza nguo. Nampenda sana ni mwanamke mzuri kwangu
Kiukweli nilimlazimisha sana tukifanya nae romance kwa wingi lakini kila nikitaka kuingiza alikataa katakata, nilisumbuka naye sana zaidi ya mara 7 namvua nguo lakini wapi, namchezea analegea macho lakini nikijitahdi hata kutaka kumbaka aliendelea kunikataa nifanye naemapenzi , sikuwahi kuwaza matumizi ya condom kipindi hicho na hii ni mpaka leo.
Sikuwahi kumtukana wala kudharau maamuzi yake. Alinipenda kwa kweli nadhani mabinti wote wapo hivo wana huruma sana akikupenda hataki kukuona ukiteseka
Nimekumbuka siku aliyoniita na kunieleza ukweli kuwa yeye ni muathirika alimbukizwa na babu mmoja hukohuko kwao Mbeya na hakuhitaji kufanya makusud kunirushia ugonjwa,
niliishia kumshukuru.
Nafurahi kumwona mpaka sasa akiwa mwenye afya na anaendelea na maisha yake na biashara zake za kuuza nguo. Nampenda sana ni mwanamke mzuri kwangu