Hivi huu ni utumwa mambo leo au ndicho kilichodiskasiwa Beijing?

tang'ana

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
11,809
15,059
Mambo vipi watanganyika wenzangu?ebana kuna haka katabia kamekua kwa kasi hasa maeneo ya mijini,kwa mfano kama mwanaume umeongozana barabaran na mpenzi wako,basi huyo mpenzi wako atajishebedua kwa kujifanya kachoka ili tu mwanaume amsaidie kubeba mkoba wake..hvi haya ndo yaliyowapeleka beijing au ni kaukoloni kapya kameingia?
 
anataka aoneshe jinsi anavyo pendwa na jinsi unavyo mjali hakuna kingine hapo
 
Kuna mshkaji wangu alikuwa hodari wa mambo hayo ukikutana nao mitaa ya posta wanafanya shopping unaweza kufikiria jamaa ni chinga jinsi alivyosheheni mizigo na akifika penye kipando Chao bibi anasubiri jamaa anatupia mizigo penye buti kisha anaenda kumfungulia mlango anasubiri akae kisha anafunga mlango.
Siku alipomwagwa sijui kumiminwa asee alimkumbusha jinsi alivyogeuka kuli but ndo hivyo haikusaidia goma liliisha hivyo.
 
Mambo vipi watanganyika wenzangu?ebana kuna haka katabia kamekua kwa kasi hasa maeneo ya mijini,kwa mfano kama mwanaume umeongozana barabaran na mpenzi wako,basi huyo mpenzi wako atajishebedua kwa kujifanya kachoka ili tu mwanaume amsaidie kubeba mkoba wake..hvi haya ndo yaliyowapeleka beijing au ni kaukoloni kapya kameingia?
Anaogopa kuporwa, maana kuna kila kitu humo.
 
Kuna mshkaji wangu alikuwa hodari wa mambo hayo ukikutana nao mitaa ya posta wanafanya shopping unaweza kufikiria jamaa ni chinga jinsi alivyosheheni mizigo na akifika penye kipando Chao bibi anasubiri jamaa anatupia mizigo penye buti kisha anaenda kumfungulia mlango anasubiri akae kisha anafunga mlango.
Siku alipomwagwa sijui kumiminwa asee alimkumbusha jinsi alivyogeuka kuli but ndo hivyo haikusaidia goma liliisha hivyo.
Teh teh...uzungu huo.
 
Back
Top Bottom