Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari wana jukwaa.... Kwanza naomba niweke wazi kuwa mimi nimeoa na nina watoto kadhaa. Na mke wangu sio mbaya sana, ana umbo zuri tu japo sura ndo hakujaaliwa. Amefanana na baba yake (nahisi...
5 Reactions
78 Replies
8K Views
habari wana JF,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 36,nina mtoto mmoja wa miaka 6 natafuta mwanamke wa kuishi nae awe mke wangu.Mimi ni mfanyabiashara nina kipato cha kawaida kuendesha maisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, Namshukuru Mungu tatizo langu limekwisha, nitajitahidi kuwa muangalifu ili nisipatwe tena na shida kama hii, nilijikuta nimechanganya nikakutana na rafiki yangu siku hiyo hiyo...
7 Reactions
143 Replies
19K Views
Kuna somewhere nilienda kucheki issue Fulani, fortunately nikakuta kumbe ni sehemu majirani zangu tuliotoka wote kijijin huwa wanakaa so tukasalimiana and so on. Among them kulikua na one girl...
2 Reactions
97 Replies
11K Views
Habari wanajamvi. Kwanza ningependa nianze kwa kutoa shukrani kwa rubii atoto cute b na Heaven Sent kwa support wanayonipa kwenye hii biashara..Mbarikiwe sana Nimedumu kwenye biashara hii kwa...
10 Reactions
132 Replies
13K Views
Wakuu habarini za jumapili. Leo napenda kuzungumzia suala la mtu ku pretend na kutaka kuonekana katika jamii kwamba ni mtu fulani smart lakini anachokionyesha yeye hayuko hivo hata kidogo . Suala...
3 Reactions
116 Replies
11K Views
Wazoefu, hapa mnasemaje kama kichwa cha hii mada inavyosema. Karibuni
0 Reactions
17 Replies
5K Views
I greet you all my elders(wakuu) Walengwa ni wanaume ambao wana uhusiano wa msichana mmoja(sio ndoa) wanaonana mara moja kwa wiki siku za week end,kama jumamosi/jumapili. Kuna wadada...
3 Reactions
111 Replies
10K Views
Naomba kuwauliza hivi hiki kipindi kipya kiitwacho GIRL TALK kinachorushwa na Star tv kina maudhui gani au kimewekwa kwa maana gani? Kiukweli ninayoyasikia katika hiki kipindi nadhani ni...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Mwenye kujua tafadhari anijuze japo kwa uchache
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CHAGUA MOJA , Unaweza kuwa mtu mmoja tu kati ya watu hawa wawili.Huwezi kuwa wote wawili, au huwezi kuwa katikati, ni moja tu.Unaweza kuwa mtu mwema au unaweza kuwa mtu mbaya.Unaweza kuwa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
ONDOA HOFU AKILI YAKO ELEKEZA KWENYE KILE UNACHOWEZA KUKIFANYA KIUFASAHA Unajua ili ufanikiwe ni lazima uweze kufanya mambo makubwa, ambayo hujawahi kuyafanya kwenye maisha yako. Kwasababu...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
INGEKUWA KUWEKA MIPANGO TU NDIO KUFANIKIWA BASI KILA MTU ANGEKUWA NA MAFANIKIO MAKUBWA SANA Kila mtu anaweka mipango mizuri sana, yaani sana.Lakini mipango hii haijitekelezi yenyewe, unahitaji...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Yeye na mumewe siwaherewi ! siku moja nilimuona mumewe katoka chooni akaenda kwenye malango wa chumba changu akajifuta miguu yake kwenye zuria langu la mlangoni alivyo maliza akaenda chumbani...
4 Reactions
61 Replies
12K Views
Mimi nikijana wa kitanzania naishi DAR ES SALAAM najitokeza kutafuta Girlfriend atakae kuwa mke wangu ikibidi. plz aliye tayari naomba tuwasiliane niko serious sitanii . SIFA ZANGU UMRI: MIAKA...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Nimegundua mwanamke Ninayetaka kumuoa ni mpenziwa rafiki yangu na hawajaachana bado, tayari nimeshatoa mahari,na taratibu zote za kuoa zinaendelea sasa nifanyeje?
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Kuna wakati watu wakiwa kwenye umri wao wa ujana hudhani kwamba kuna mfanano kwenye kupenda. Kiuhalisia hakuna mfanano katika kuyatafsiri mapenzi. Kuna watu wanajua kabisa kama wapenzi wao...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za siku kidogo wakuu, Leo nimeamka nawaza hapa kuna jambo linanitatiza (Ni kama miezi 8 toka nilivyofahamiana na kaka mmoja tulikutana katika kazi akanipenda Ila mimi sikumpenda kiviile...
1 Reactions
128 Replies
15K Views
^^ Dunia inazidi kujawa idadi ya watu.Miongoni mwa mabilioni ya watu hapa duniani si ajabu kuna watu wanalia usiku na mchana kwa kukosa mwenza wa maisha.Kuna wanawake wa kila namna nje wanacheka...
21 Reactions
74 Replies
11K Views
Back
Top Bottom