Utongozaji wa wanawake mjini huu hapa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,320
33,125
IMG-20160206-WA0093.jpg
 
Na watazidi kutuona waongo maana ukweli hawautaki
Kuna mwanamke mmoja anacheo fulani hivi... na ni mzuri ni mzuri sana... yeye kila niki chat nae ni story za maisha fulani hivi ya gharama... kila nikimtongoza anapotezea.... siku akataja udhaifu wake kwamba yeye anapenda sana gari inaitwa Murano yani akiiona dah anapagawa kabisa...

Ikawa point ya ushindi kwangu... nikabadilishana gari na rafiki yangu kwa siku tano tu... akanipa Murano yake... nikamfanyia suprise ya kumfuata kazini nimrudishe kwake.. kwa Murano ya kuazima...
Mbona tulimalizana siku ile ile...
 
Kuna mwanamke mmoja anacheo fulani hivi... na ni mzuri ni mzuri sana... yeye kila niki chat nae ni story za maisha fulani hivi ya gharama... kila nikimtongoza anapotezea.... siku akataja udhaifu wake kwamba yeye anapenda sana gari inaitwa Murano yani akiiona dah anapagawa kabisa...

Ikawa point ya ushindi kwangu... nikabadilishana gari na rafiki yangu kwa siku tano tu... akanipa Murano yake... nikamfanyia suprise ya kumfuata kazini nimrudishe kwake.. kwa Murano ya kuazima...
Mbona tulimalizana siku ile ile...

Jamani not fair.....
Hiyo ni tabia mbaya.....

Mie niko hivi.... napenda raha ila sikwambii kama hunisomi basi utabaki kusema ninamambo ya kitoto au ya kizamani.
Kuna utundu flani hivi ndo ulevi wangu vingine material tuu

Hebu malizia, alipogundua murano uliiazima na ushamkula ilikuwaje?
 
Jamani not fair.....
Hiyo ni tabia mbaya.....

Mie niko hivi.... napenda raha ila sikwambii kama hunisomi basi utabaki kusema ninamambo ya kitoto au ya kizamani.
Kuna utundu flani hivi ndo ulevi wangu vingine material tuu

Hebu malizia, alipogundua murano uliiazima na ushamkula ilikuwaje?
Unapenda ufwetere... hahahaha....

Mpaka kesho anaamini nimenunua gari nyingine... akawa hachomoi tena... kila nikikutana nae nipo nalo... si nafanya kubadilishana tu na rafiki...

Kwa hiyo Murano, ukijumlisha na uzoezi wangu kwenye 6*6... napiga navyotaka... lakini mimi na yeye wala hatujakubaliana kuwa wapenzi...

Hata wewe nikiwa na interest na wewe, lakini ukawa unazingua, na nikaja jua weakness yako.... nakung'oa chap chap...
 
Unapenda ufwetere... hahahaha....

Mpaka kesho anaamini nimenunua gari nyingine... akawa hachomoi tena... kila nikikutana nae nipo nalo... si nafanya kubadilishana tu na rafiki...

Kwa hiyo Murano, ukijumlisha na uzoezi wangu kwenye 6*6... napiga navyotaka... lakini mimi na yeye wala hatujakubaliana kuwa wapenzi...

Hata wewe nikiwa na interest na wewe, lakini ukawa unazingua, na nikaja jua weakness yako.... nakung'oa chap chap...

Mie napenda magari ila sio awe nalo mwanaume ili nimpende au aninunulie au anipe la hasha. Napenda magari niwe nalo na niwe naliendesha. Rejea uzi wangu wa catch me if you can....

I bet you Kasie hata ujue weakness yake kumpata kila unapotaka ni yeye a take na si maujanja yako.... wallah tena nakuapia. Labda nikikuona tuu nikuzimie mimi hapo utanipata kiulaini sasa sijui utajibadilisha muonekano......
 
Mie napenda magari ila sio awe nalo mwanaume ili nimpende au aninunulie au anipe la hasha. Napenda magari niwe nalo na niwe naliendesha. Rejea uzi wangu wa catch me if you can....

I bet you Kasie hata ujue weakness yake kumpata kila unapotaka ni yeye a take na si maujanja yako.... wallah tena nakuapia. Labda nikikuona tuu nikuzimie mimi hapo utanipata kiulaini sasa sijui utajibadilisha muonekano......

Hahahah... Safi unavyojiamini..
Lakini hayo maneno tu hata kwenye mabango yapo...

Bango kuubwa "Ni marufuku kufanya biashara eneo hili amri" lakini unakuta vibanda kibao na biashara zinaendelea...

Napoamua, nikitia nia, i put all my concentration on you... humalizi miezi... nakuong'oa... iwe kiulaini au kwa taabu...
 
Hahahah... Safi unavyojiamini..
Lakini hayo maneno tu hata kwenye mabango yapo...

Bango kuubwa "Ni marufuku kufanya biashara eneo hili amri" lakini unakuta vibanda kibao na biashara zinaendelea...

Napoamua, nikitia nia, i put all my concentration on you... humalizi miezi... nakuong'oa... iwe kiulaini au kwa taabu...

Vyoo yote vile. ... ila mie nakwambieje. ..... Kasie ni namba ingine nina vimbwanga balaa na ukija na speed yako ya ferrari mwenyewe utanyoosha mikono juu. Kwa sababu wengi wamebaki wanasema sizitaki mbichi hizi kumbe wameshindwa kurukia na kuzifikia.
Si kuwa nafanya promo au najipigia debe la hasha niko hivo..... ila mie ni mbishi na bado ninabisha hata u concentrate kama unasoma vijidudu vya malaria kwenye microscope (sijui ndo inaitwa hivyo) kama sijaamua hunipati ng'oo hata ujue udhaifu wangu.
Kasie.
 
Vyoo yote vile. ... ila mie nakwambieje. ..... Kasie ni namba ingine nina vijana balaa na ukija na speed yako ya ferrari mwenyewe utanyoosha mikono juu. Kwa sababu wengi wamebaki wanasema sizitaki mbichi hizi kumbe wameshindwa kurukia na kuisikia.
Si kuwa nafanya promo au najipigia debe la hasha niko hivo..... ila mie ni mbishi na bado ninabisha hata u concentrate kama unasoma vijidudu vya malaria kwenye microscope (sijui ndo inaitwa hivyo) kama sijaamua hunipati ng'oo hata ujue udhaifu wangu.
Kasie.

Kama wewe ni mbishi... mimi mtukutu na sina nidhamu ya uwoga na sijawahi kuogopa chochote, popote.. zaidi ya kuheshimu tu... Alafu wewe mwenye maneno mengi ndiyo mwepesi sana...

Nikiamua nakupata, hakuna liliowahi kushindikana kwangu...

mimi vijana wako hawanisumbui...
 
Hahahah... Safi unavyojiamini..
Lakini hayo maneno tu hata kwenye mabango yapo...

Bango kuubwa "Ni marufuku kufanya biashara eneo hili amri" lakini unakuta vibanda kibao na biashara zinaendelea...

Napoamua, nikitia nia, i put all my concentration on you... humalizi miezi... nakuong'oa... iwe kiulaini au kwa taabu...
kweli mkuu ukishajua udhaifu wa mwanamke kushnei

kuna mmoja nilimfukuziaga kama wiki moja ivi kila nikimwambia namhitaji ananipiga kalenda mwenyewe akaniropokea naomba mia tatu nikanunue kichwa utumbo na mguu wa kuku nikampatia kesho yake nikashika mkono ili nimshawishi tufike adi geto nikamnunulia hivo vitu vya 1000 kala we kamaliza bada ya mda nikajitanulia miguu kiulaini mpaka leo nikimwitaji tu nampata kwakumnunulia hivo vitu
 
Back
Top Bottom