Huyu single mother kanin'gan'gania sana

Huyu single mother kanin'gan'gania sana

Super human

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2015
Posts
1,147
Reaction score
752
Kuna somewhere nilienda kucheki issue Fulani, fortunately nikakuta kumbe ni sehemu majirani zangu tuliotoka wote kijijin huwa wanakaa so tukasalimiana and so on.

Among them kulikua na one girl ambae she is just younger kwangu but through story from some people nilikuwa najua she got pregnance and is single mum. Unfortunately on our growth nilimuacha mbali she was neither my friend at that time I grew up and nilimtangulia three classes.

Aliponiona ananikumbuka jina kwa tabu tu, nilipoondoka sasa akaomba namba yangu from mtu their ambae alikua nayo. Akapga ooh Mimi fulan ulikuja hapa Jana naomba tuchart tumechat bt naona anakomaa kutaka kuwa close na Mimi Mara simu SAA sita kasoro.

Namvumilia maana hua mi sio mtumiaji wa simu na pia sitak kumjibu kunya mbovu sana mana lazma we shall meet either kwenye shughul or at village and I m never interested on her kabsaaa na as a single mother sina mpango nae kabsaa sasa ananiuliza na upo wapi? unafanya nini? Lini utanitembelea? najaribu kuonesha simtaki on way that sintamuuza bt haelewwi najiulza ana nikaba kwani mi ndo nilimwahisha hukoo au?
 
Mpe atakacho, mkitoswa mnalalamika mkipendwa mnalalamika pia! What the **** do u want?
mkuu hii life sometimes we have to reason af brother zake ni friends na classmates for me so sio pa kuchafua tu kama wa porii
 
Mbona ilo swala halihitaji ushauri mkuu? Humtaki,mwambie ajue.
 
mbona nafasi kama hizi sizipatagi jamani ...yani kajileta mwenyewe alafu unambwela mbwelaa !
 
Huyu alie weka hii mada tumuone vip8 hajui kiswahili au maana English c English acheni upumbavu andiki top yako kama kwa kiswahili andika chote au andika chote kingeraZa
Mwacheni bana.....
Mtajuaje kama katoka "village" kitaaaaambo

Na sie tuliopitia kwa ras simba tunaona raha kusoma ung'eng'e (spelling)
Be fair bro. Hii lugha ya watu pia umeitumia hapa, haiko interested na wewe, ila umeing'ang'aniza.
 
Kwa maelezo yako na pyschology... inaonesha wewe ndiyo unabembeleza penzi la single mother.. yeye hana habari na wewe... kwa kuwa unataka kupiga na kuacha, hutaki majukumu...
 
ungetumia kiswahili bila kuchanganya changanya! ungeeleweka zaidi ............ i m never interested??
mpige tu dudu ivo ivo hata kwa shingo upande
Kwa maelezo yako na pyschology... inaonesha wewe ndiyo unabembeleza penzi la single mother.. yeye hana habari na wewe... kwa kuwa unataka kupiga na kuacha, hutaki majukumu...
Hahahahaa nawakubali sana nyie watu....
 
Wanaume siku hiz wengi tunauwezo mdogo sana wa kufikiri.. vitu vingne kama hiv hata huitaji mtu akushauri.. au sio ndo kukosa kazi, au kitaka sifa.. cjui...
 
Huyu jamaa lazima atakua muhaya tu!! Ngeli na kuswaz duuuh!!
 
Back
Top Bottom