Naitwa J, umri wangu ni miaka31, naishi Dar, elimu shahada ya kwanza, dini Mkristu, situmii kilevi chochote, nimtakae awe na umri 25-36, awe mweupe, elimu kidato cha nne mpaka shahada...
Wakuu, heshima kwenu!
Nimekuwa kwenye mahusiano na wasichana tofauti kwa vipindi tofauti kwa muda sasa na hatimaye nikaamua kutulia na mmoja baada ya kujitambua vema na kuamua kuishi maisha hasa...
Uchunguzi usio rasmi mfupi nilioufanya kutoka maeneo ya wilayani na mijini ni kuwa Pamoja na maisha kuwa magumu lakini tofauti na miaka ya nyuma kidogo siku hizi wanaume hawakimbii majukumu...
Naongea hivi maana wanawake wengi wa leo tunashindwa kutofautisha mume na mtu mpita njia au kwa maneno mengine mtu usie na uhakika nae kwamba mtaishi wote kama mume na mke.
Unakuta mwanamke...
Nimekua msomaji tu lakini acha leo nitue huu mzigo, nimeona mwenzangu wishes to turn back the hand of time mi natamani nife.Simply kwasababu sina furaha katika ndoa yangu na sababu ni kuolewa na...
Hello Girl.
Poleni na kazi ndugu zangu' mimi naamini mke uliyepangiwa na Mungu unaweza kutana naye popote.
Naomba mdada yoyote aliye single au hata kama upo katika mahusiano yasiyo seriously...
Wakatongoza wanaongea uongo uongo mbaya ukigundulka unaachwa, mwingine anatongoza huku anakuita mdogo wangu au dada.
Sasa angekuwa dada yako au mdogo ako ungemtongoza? Kama mdogo wako kwanini...
Habari wana jukwaa....
Kwanza naomba niweke wazi kuwa mimi nimeoa na nina watoto kadhaa. Na mke wangu sio mbaya sana, ana umbo zuri tu japo sura ndo hakujaaliwa. Amefanana na baba yake (nahisi...
habari wana JF,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 36,nina mtoto mmoja wa miaka 6 natafuta mwanamke wa kuishi nae awe mke wangu.Mimi ni mfanyabiashara nina kipato cha kawaida kuendesha maisha...
Habari,
Namshukuru Mungu tatizo langu limekwisha, nitajitahidi kuwa muangalifu ili nisipatwe tena na shida kama hii, nilijikuta nimechanganya nikakutana na rafiki yangu siku hiyo hiyo...
Kuna somewhere nilienda kucheki issue Fulani, fortunately nikakuta kumbe ni sehemu majirani zangu tuliotoka wote kijijin huwa wanakaa so tukasalimiana and so on.
Among them kulikua na one girl...
Habari wanajamvi.
Kwanza ningependa nianze kwa kutoa shukrani kwa rubii atoto cute b na Heaven Sent kwa support wanayonipa kwenye hii biashara..Mbarikiwe sana
Nimedumu kwenye biashara hii kwa...
Wakuu habarini za jumapili.
Leo napenda kuzungumzia suala la mtu ku pretend na kutaka kuonekana katika jamii kwamba ni mtu fulani smart lakini anachokionyesha yeye hayuko hivo hata kidogo .
Suala...
I greet you all my elders(wakuu)
Walengwa ni wanaume ambao wana uhusiano wa msichana mmoja(sio ndoa)
wanaonana mara moja kwa wiki siku za week end,kama jumamosi/jumapili.
Kuna wadada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.