Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wazazi wanataka nisome, sipendi kusoma sipendi kuamka asubuhi sipendi kwenda shule nifanye nini ili niwe model.
0 Reactions
40 Replies
8K Views
Nina takribani mwezi hivi sasa toka nikutane kimwili na mpenzi wangu wa zamani na kwa bahati mbaya sikutumia kinga nilianza kuhisi kuugua ugonjwa huu kama wiki mbili zilizopita na kwa bahati mbaya...
0 Reactions
89 Replies
12K Views
Hivi kuna umuhimu wowote wa kumpokonya vitu vyako kwa mpenz wako wa zamani,mfano km ulimnunulia gari,laptops,simu na vinginevyo????
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Habari wakuu, Naombeni ushari juu ya hili suala kwasababu naona naelekea kupotea toka nimpate huyu msichana performance yangu ya chuoni imepungua mno, pili tumekuwa tukigombana kila siku, tatu...
0 Reactions
94 Replies
9K Views
Habari zenu, Nimejiunga JF kwa kwa malengo mbalimbali mojawapo likiwa ni kutaka kuuliza wadau na kuomba ushauri kuhusu mtoto Zamda, anamiaka 15 yupo form 3 hapahapa DSM, lakini huyu mwanangu ni...
1 Reactions
65 Replies
8K Views
USIFANYE JAMBO LOLOTE KWA SHINGO UPANDE NI KUPOTEZA MUDA WAKO TU UKIFANYA HIVYO Chochote unachoamua kufanya, kifanye kwa moyo mmoja, kifanye kwa juhudi zako zote na maarifa yako yote. Au...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Miaka 13: usipende wavulana ni wabaya. Miaka 18: sitaki nikuone na yule mvulana tena. Miaka 23: lini utatuletea mchumba wako? Miaka 26: wenzio wanaolewa. Miaka 30: tumekuambia kwamba acha kuchagua...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Imekuwa ni kawaida wanaume kuwapa wanawake fedha aidha kwa kuwa ni marafiki au wachumba au wanandoa.Mwanamke katika ndoa hupenda kutumia fedha zake kwa mambo binafsi na mambo kama hayo.Je kama...
1 Reactions
72 Replies
22K Views
Habari zenu wadau, wivu ni kitu muhimu katika mapenzi lakini ukizidi huwa unakuwa Tatizo. Nakumbuka ilikuwa mwaka 2012, home tulipata msichana kwa ajili ya kutusaidia kazi za nyumbani yaani...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa Neema ya uhai na afya. Pili napenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru wote wanaoifanya jamiiforum kutufanya tupate pa kusemea. Tatu nawashukuru wadau wote wa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mrejesho Hhr wadau WA jukwaa hili? Napenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru nyote kwa michango yenu na mawazo yenu. Pia nawashukuru wote mliyekuja pm, isingewezekana kuwapa nafasi wote kwakuwa...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Wakuu salama, Kulingana na kautafiti kadogo nilikofanya, nimegundua watoto wakike wengi waliokulia kwenye mageti (mboga saba) wengi wao hawajui malavidavi. Ukikutana na mabiiti hawa then...
7 Reactions
53 Replies
6K Views
Nina rafiki yangu namuonea huruma sana, maana jamaa anahonga sana, na nimeanza naye kazi pamoja miaka 4 iliyopita, na nilisoma naye chuo kimoja na darasa moja, bahati nzuri baada ya kumaliza...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Wanandoa waliokuwa ndio kwanza wanaanza maisha walihamia katika mtaa mmoja na kupanga nyumba katika eneo hilo,Siku ya pili wakiwa wanapata chai asubuhi mke alimwona jirani kwa mbaali kupitia...
9 Reactions
18 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chahusika hapo juu.. > Kama upo lonely > Frustated > Hopless > You need company > And unconditional care Plzzz pm me now...I wil respond on time! Vigezo na masharti kuzingatiwa
1 Reactions
6 Replies
1K Views
mie ni bint wa miaka 25 ni h.i.v possitive din mkristo , mwajiliwa katik kampuni fulani hv, ni mrefu ,rangi maji ya kunde.... kwa mwanaumw aliyetayar tuyajenge maisha kwa kufarijian na upendo...
2 Reactions
65 Replies
7K Views
Baada ya kupata na kufanikiwa kupata kazi kwenye mashirika ya uma nilipangiwa kazi mkoani na ndo mpaka sasa nafanyia kazi huku. Baada ya kuwasili kazini ilinibidi nikayafute nyumba ya kufanikiwa...
1 Reactions
122 Replies
10K Views
Awe msichana umri 18-24 urefu siangalii umbo asiwe modo mwenye sifa aje pm ni hayo tu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mke anaombwa aingiliwe nyuma. Walianza mahusiano wote wakiwa chuo kaka mwaka wa pili binti mwaka wa kwanza. Kwa ujumla binti ni mzuri sana tena sana ni kama anaushombe kwa mbali umbo limemeguka...
9 Reactions
188 Replies
28K Views
I greet you all my elders Katika mila zetu za kiafrika rafiki ni mtu ambaye mnakuwa na maelewano na ukaribu kama ndugu wa damu.Hii ilikuwa tofauti kwa huyu rafiki yangu anayeitwa baba Gasto...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Back
Top Bottom