Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Uwe kijana au mzee linapokuja suala la mapenzi ni suala lisilo kwepeka hata hivyo kuwa mwangalifu ndicho kitu cha msingi kuliko kitu chochote na ili kumfahamu mtu unahitaji kitu kinaitwa muda...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Hi kama kichwa cha habari kinavosema kama upo ready njoo pm
1 Reactions
0 Replies
890 Views
Inasikitisha sana, kuna mdada tumekuwa normal friends bila ya kuwa na makubaliano ya kuoana, hatimaye mwezi wa 8 tukafanya mapenzi na ikapelekea kupata mimba. Cha ajabu anadai kuwa lazima nimuoe...
1 Reactions
451 Replies
57K Views
thank you
1 Reactions
0 Replies
817 Views
Wapendwa natumaini valentine ilikuwa njema kwenu. Kuna vitu ambavyo inatakiwa mvijadili na kukubaliana na mwenza wako kabla hamjaingia kwenye ndoa. Vitu kama Dini, mzae watoto wangapi, na sehemu...
6 Reactions
36 Replies
7K Views
Vyangu anataka, nikimpanga nataka uwe wangu hajibu. Nikimwambia vipi kuhusu yule boyfriend wako uliyeniambia siku ile niliyokutokea? Hajibu, anatabasamu, anatikisa kichwa anajichekesha. Mfano...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Hello natafuta mwanamke wa kuchat nae umri kuanzia 26-30 aliue tayari karibu PM Lengo ni long term relationship sitaki ubabaishaji karibu
1 Reactions
0 Replies
955 Views
Ebhana Niaajee? Tukizungumzia maswala ya faragha Hasa KUNGONOKA huwa dizain kama kuna upande wa SISI WANAUME tunapendelewa hivi, sijui na nyinyi mmeshaligundua hilo? Yaani NAMAANISHA unakuta Tendo...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wanajamii katika pitapita yangu nimekutana na hii taarifa ya utafiti: Source: UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM UTAFITI uliofanywa na...
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Habari za wakati huu huu wandugu na majamaa..... Siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida kukuta mwanamke yupo singo hata katika umri ambao angetazamiwa kuwa ameshaolewa.... Au imekuwa ni kawaida...
4 Reactions
19 Replies
4K Views
MADHARA 12 YA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFU. 1. Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo. 2. Kupendelea sana kuangalia picha za uchi. 3. Kusahausahau. 4. Kupendelea story za mapenzi. 5...
4 Reactions
68 Replies
38K Views
Wanawake wa Dar wana Viwango vyao vya Hela.. Ukiwa unampa 50,000-90,000 utakuwa unaitwa Jina lako tu, Good morning Eddy..Hallow eddY How is your Day...Goodnite eddY. Ukiwa unampa kati ya 100,000...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu.... Naombeni msaada kwa hili wakuu hivi inakuaje upo kwenye mahusino na huyo mwanamke uliye naye ana kuwa mtu wa lawama kwako mda wote na pia wewe unaonekana mkosefu kwa kila...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Siku hizi vijana wa kileo wamekuja na mpya eti usipowaonyesha mwenza wako wanahisi haupigi kazi, jogoo hawiki, joka wa kibisa n.k. Kama haitoshi wametoa na neno jpya kuwa eti utaitwa midimpozi kwa...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Okay ni hivi, my boyfriend is in Canada and I'm soon going to another country. Yeye anasema ana mpango tuoane in the future lakini mimi sina huo mpango nae kwa kweli. We are both 20 na sitaki...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwa kiasi kikubwa katika suala la kutaka kuingia ndani ya ndoa, wanawake ni wengi ambaohutaka kufunga ndoa kuliko ilivyo kwa wanaume. Hilo tunaliona wazi tokana na shamra shamra ambazo nazo...
3 Reactions
28 Replies
7K Views
Yani story iko hivi, kuna mshikaji wangu kaja kwangu wanaishi na mke wake na mtoto mmoja, lakini kila jukumu la familia analijua mwanaume. Mumewe kakopa pesa ya kumtoa mke wake hospitali, lakini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Najuta kwanini nilimpa nafsi shetani nikaachana na kipenzi changu .sasa hivi kila demu nitakaye mpata Majanga .hata yure wa kipindi kire nilipo kuwa homu kwa mzee kitaa ambaye naye niliachanae...
3 Reactions
136 Replies
13K Views
How do i learn to like me? I have no idea how to do that. Help please
1 Reactions
69 Replies
7K Views
Imebidi nijiulize hili swali, hivi mtu mbinafsi yuko vipi? Je mimi ni mmoja wao? Kwa mfano nikitaka kitu changu huwa sina compromise, when pursuing something huwa sijali wengine wanafikiri nini...
4 Reactions
41 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…