USIPENDE KUFANYA KITU KWA MAZOEA

Galacha Maestro

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
1,353
2,229
USIPENDE KUFANYA KITU KWA MAZOEA

Usikubali kabisa kuleta mazoea kwenye kazi au biashara yako. fanya kwa ubora wa hali ya juu. Hakikisha kila siku kuna kitu ambacho unaboresha, ambacho kinakufanya uwe mbele zaidi.

Tabia ni nzuri kwa mambo ambayo hayahitaji umakini mkubwa, lakini kwa mambo yanayohitaji umakini kama mafanikio, basi usiweke kabisa mazoea.

Kama unafanya kazi au biashara kwa sababu ndio umezoea kufanya hivyo, umechagua njia mbovu sana ambayo haitakufikisha mbali.
Kuwa bora, kuwa tofauti, kila siku.
 
Back
Top Bottom