Umewahi kusikia mwanaume anamtongoza mkewe?

Umewahi kusikia mwanaume anamtongoza mkewe?

j itafutie hii kitu....kubembelezana ndo mahaba ila kutongozana kila mwezi ni upumbavu
Shida ya nini? kama hataki achana nae
 

Attachments

  • CYMERA_20160302_192752.jpg
    CYMERA_20160302_192752.jpg
    8.6 KB · Views: 47
Sasa huyo anatongoza au anabembeleleza ili apewe mzigo?
 
kutokana na she
j itafutie hii kitu....kubembelezana ndo mahaba ila kutongozana kila mwezi ni upumbavu
Shida ya nini? kama hataki achana nae
kutokana na sheria na vifungu vya JF.kifungu cha sheria no (46_49B)wewe unatakiwa kupigwa BAN.


swissme
 
j itafutie hii kitu....kubembelezana ndo mahaba ila kutongozana kila mwezi ni upumbavu
Shida ya nini? kama hataki achana nae
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Hiyo ni ishara ya kuwa amekuchoka au ana chepuka kinoma.
Je yeye siku hakuchepuka anapolihitaji dude hukuanzaje?
 
Back
Top Bottom