Pima mafanikio ya mahusiano ya kimapenzi

Wimsha

JF-Expert Member
Dec 8, 2015
518
503
Ni kawaida katika maisha kupima mafanikio ya mambo unayoyafanya ukiwa hai duniani. Mara nyingi watu wengi hujipima kwa mambo ambayo ni ya kawaida kama vile wamejenga nyumba ngapi, wamezalisha faida ya shilingi ngapi, wamepata magari/usafiri mangapi, wamevuna kiasi gani.

hebu leo tujiulize umefanya kile kitendo cha unyumba na wanaume au wanawake tofauti (kutegemeana na jinsia yako) wangapi?

Je umefikia lengo (idadi) uliyojipangia?

Mie nimefikisha 24 naona lengo limetimia wakiongezeka zaidi ya hao ni majanga.
 
Huo mche wako unafahamika na wanawake wengi heri mimi nina wawili tu kwa mama mmoja
 
Ni kawaida katika maisha kupima mafanikio ya mambo unayoyafanya ukiwa hai duniani. Mara nyingi watu wengi hujipima kwa mambo ambayo ni ya kawaida kama vile wamejenga nyumba ngapi, wamezalisha faida ya shilingi ngapi, wamepata magari/usafiri mangapi, wamevuna kiasi gani.

hebu leo tujiulize umefanya kile kitendo cha unyumba na wanaume au wanawake tofauti (kutegemeana na jinsia yako) wangapi?

Je umefikia lengo (idadi) uliyojipangia?

Mie nimefikisha 24 naona lengo limetimia wakiongezeka zaidi ya hao ni majanga.
24 episode zote?
 
Kiukweli mkuu mi nimefikisha so chini ya 45 ila nashukuru toka DEC mwaka juzi nimestick na mmoja na siongezi
 
hhahahahahaha kweli hiyo siyo sehemu ya siri kabisa.

uwiiii mbavu zangu mie hiyo sehemu yake iitwe sehemu ya umma

hahhahaha kabisa maana watu 24 kuiona sio mchezo wengine wameinyonya ina siri gani hiyooooo
 
yaan Mkuu utarepea mbavu zangu ujue?? hahahahahahahhahahhaahaaaa

hahahahaha sifa ya mwanaume ugumu wasituletee upuuzi kuvua vua chupi ndo ujanja FICHA KABISA MALI BINAFSI UKIONA UNAGAWA YA UMMA HIYO cha woteeeeeeeeeeee hahahahah
 
hahahahaha sifa ya mwanaume ugumu wasituletee upuuzi kuvua vua chupi ndo ujanja FICHA KABISA MALI BINAFSI UKIONA UNAGAWA YA UMMA HIYO cha woteeeeeeeeeeee hahahahah
hahahahahaaaaa kweli aisee maana hata mimi anayejua point (alama)kwenye mwili wangu namuheshimu sana aisee.

maana wakijua wengi sasa itakuwa ya umma tu hamna namna.
 
Back
Top Bottom