Machozi ya mwanamke yana siri gani?

Machozi ya mwanamke yana siri gani?

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
6,423
Reaction score
8,367
View attachment 222014


View attachment 222015

View attachment 222016

View attachment 222017

View attachment 222019


View attachment 222020

7.jpg


8.jpg

10.jpg

11.jpg


12.jpg
 
Waje watu ambie ni kwa nini kila sehemu huwa wanalia

Kwenye uwanja wa nyumbani alie
Kwenye kujifungua alie
Kwenye furaha alie
Kwenye tahamaki alie
Kwenye msiba alie
Kwenye kugombana alie
Yaani yeye ni kulia tu na kuongea kwa pitch ya juu kwanini

Naamini wakitoka kulia huko wanako lia sasa hivi watatujibu
 
huwa nachukia kweli kweli demu wangu akitoa machozi maana najua kabisa ni unafiki
 
Mwanamke ni kiumbe dhaifu juu yakua wegine ni majasiri lakini mwisho wa siku atabia kua mwanamke, mwanamke ni Mama,ni Dada,ni mkeo anastahili mapenzi kudekezwa,chozi lake akiwa mama basi afadhali upigwe na risasi kuliko umtoe chozi na dhambi yake mwenyezi mungu peke yake anaijua,hata awe mkeo wa halali nae chozi lake pia usilidharau..
 
Back
Top Bottom