Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Sikwambii jinsi ya kuwa mama wa kiafrika, kwani tayari wewe ni mama tena Mwafrika Sikwambii jinsi ya kulea mwanao, kwani kila mtoto ni unique Sikwambii jinsi ya kutunza nyumba yako, kwani sijui...
21 Reactions
133 Replies
9K Views
Za asubuhi?, hope mko poa kabisa. Straight to the point, kuna msichana mmoja nilitumia miaka mitano tokea anikubalie mpaka nimkamatilie chini,mwingine ilikuwa siku moja baada ya kunikubali lakini...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Leo nina jambo moja tu nataka kujua kutoka kwa wanaume, wanaume wengi kwanini mkiwa katika mahusiano na mpenzi, mchumba au mtu ambaye una mahusiano nae hampendi kueleza ukweli wenu juu ya maisha...
6 Reactions
80 Replies
11K Views
Ukiwa na genye ukiaproch mpenzio huwa na hamu sana hata kuingia Lodge huingia bila aibu mkifika rum 6 kwa 6 huwa na mbwembwe kamvua mwanamke mpaka pichu ila ukishagegeda tuu ukitoa wazungu hamu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wana JF Leo asubuhi kimenitokea kitu kilichonipa maswali mengi sana kwa sababu sijawahi kutokewa na kitu kama hiki. Mimi ninaishi peke yangu kwenye nyumba hizi za kupanga, na kabla...
2 Reactions
53 Replies
13K Views
Naomba kufahamu tafasiri ya kuacha simu ikiita hadi ikatike yenyewe. Kuna jamaa yangu alikuwa na mpenzi wake katika kikao. Simu ya mpenzi wake ikaita, jamaa waliokuwa nao wakamtonya mpenzi wa...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wapendwa wa MMU, Mimi ni msomaji mzuri sana wa JF majukwaa yote. Nimeonelea nijisajili ili nami niweze kutoa yangu ya moyoni. Kwa kifupi tu mimi ni mwanamke, mwaka huu natimiza miaka 33...
6 Reactions
415 Replies
40K Views
Habari za muda huu marafiki ndugu na jamaa....ni matumaini yangu kuwa nyote mu wazima wa afya tele na wale ambao afya zao zina mishkeli...basi muumba awajaalie mupate afya njema ili tuendelee na...
10 Reactions
70 Replies
6K Views
Mimi nina mpenzi wangu ambaye tumeishi naye muda mrefu.Tatizo la mpenzi wangu ni kuwa msiri na mambo yake anayofanya hapendi kuweka wazi, ninashindwa kuelewa kuwa ni kwanini. Nakaribisha maoni yenu
2 Reactions
47 Replies
7K Views
J Habari ndugu wadau? Napenda kuileta mada yenye kichwa husika hapo juu. Siku hizi wazazi wengi wameanza kuwasahau wana wao na kusahau majukumu yao. Hali hii imepelekea kuwafanya watoto walio...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Naishi na mwanamke, tumekaa 3 years hatujajaliwa mtoto. Mwezi wa pili alipata msiba akaenda kwao akiwa kule alinipigia amepata bibi mtaalam wa tiba asili anampa dawa mwez wa 3 tarehe 7 akaniambia...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Ukishiriki na mtu kimapenzi awe mwanandoa au mchepuko tegemea yafuatayo: 1) Kama ana ngekewa utarithi ngekewa yake ndio kitu inaitwa kusafiria nyota ya mwenzako 2)Kama ana gundu mtashare hayo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habarini,ngoja niende kwenye mada moja kwa moja. Mimi nina miaka katikati ya 25 na 30,katika pitapita nikakutana na dada wa miaka 34 na ana mtoto mmoja tukawa tu marafiki,mimi nimepitia mambo...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari wanajamvi? Jamani hivi ni kwanini wanaume tuna mambo ya kuvumisha mambo ya kuzushi? Mtu unaamua tu kuvumisha mambo, kwa mfano mtaani unaweza ukakuta kuna dada au msela anavumishiwa habari...
5 Reactions
46 Replies
6K Views
Mwandishi Kagure Mugo wa Kenya aliwahi kuandika- “Nyumba ndogo, wanawake wa pembeni na ndoa za wake wengi huwasukuma wanawake kufikiria mbinu za kuongeza ubora katika via vyao vya uzazi ili...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Girls hear, from the time they are young, “It’s as easy to love a rich man as it is to love a poor one” and “it’s better to marry a rich man". Well, ladies, I did something different, I married a...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Natafuta binti wa kuoa umri 23 - 27, sibagui dini wala kabila awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, mimi ni mkazi wa Dar na ni mwajiliwa serikalini, umri wangu miaka 29.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndioo kama inavyosomeka katika kichwa cha habari. Aisee kama sio Mchaga usiniPM sitajibu. Vigezo vingine: -Awe mkiristu -Mrefu au wa wastani-kama mfupi usiniPM tafadhali -Uwe na kazi au...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
h
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Mimi ni msichana wa miaka 28 ,nilijigundua nina maambukizi ya HIV mwaka 2012.. Natafuta mtu ,mwenye hali kama yangu ,ili tuanzishe familia...
2 Reactions
34 Replies
8K Views
Back
Top Bottom