Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habarini wadau wangu, Binafsi siko poa sana, na hata hapa nimejitahidi tu kuandika ila ki ukweli moody ya kuingia huku kwenye Social media imepungua kidogo. Sababu ni kua mimi nilijiaminisha sana...
3 Reactions
152 Replies
20K Views
Asalaam Aleikum! Bwana Yesu asifiwe! Nilimpenda sana kaka mmoja aliyekuwa mwalimu wangu, kumbe na yeye kwa wakati huo alikuwa ananipenda ila hakutaka kuniambia. Tuliheshimiana sana pia...
1 Reactions
48 Replies
5K Views
Nipo kigoma kikazi kwa ke....yeyote aliyekaribu aliyetayari karibu anipe kampani,njoo pm...tupange
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Niko kwenye mahusiano na mtu Kwa muda wa miaka 5 sasa. Mwanzoni aliniambia hajaoa na alikuwa anaishi hotel Kwa Sababu alihamishiwa mkoa nilipo Kikazi akitokea mikoa ya kanda ya ziwa. Sana Sana...
5 Reactions
188 Replies
23K Views
BUSARA KWA WANAWAKE. YAFUATE HAYA MAHUSIANO YAKO YADUMU. 1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima na uthubutu...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Wozaaaaaaaaaaa.......!!!!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu. Sasa...
0 Reactions
237 Replies
25K Views
Salamu kwenu nyote! Moja kwa moja kwenye mada,licha ya kujibana matumizi ili kuhakikisha huyu sukari wa moyo wangu anang'aa na kutimiza mahitaji yake alipokuwa huku mkoani hatimaye kaamua kutoa ya...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Peoplezzzzz Nauliza tanzania inaruhusu ndoa za mkataba yaani mnaweka makubaliano pande mbili na mnasaini kwamba hii ndoa ni miaka miwili au mmoja? Na pale mkataba ukiisha mnarudi mezani tena...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
‘Botellón’ is a group of people who meet in a public area to socialize and consume alcohol. The people buy the alcohol from local stores as a cheap alternative to an expensive night out. The...
13 Reactions
118 Replies
12K Views
UPUMBAVU WA BAADHI YA WANAUME. Mwanaume anaamini anapendwa na mwanamke, tayari anamuona fala fulani, matokeo yake anaanza kuleta dharau. Japokuwa mwanaume ana makosa, mwanamke anaomba msamaha...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama wasemavyo wahenga kuwa "mapenzi hayana shujaa", mwenzenu yamenipata. Kuna dada mmoja mnyarwanda tunasoma nae chuo kimoja, yeye first year mimi third year. Mimi ni miongoni mwa marafiki zake...
2 Reactions
74 Replies
6K Views
Alipoondoka kwanza alitukana saana,baadae akatuma Meseji kwamba amechoka karudi kwao.nashukuru Mungu kwa kuondoka,je,siku akirudi itakuwaje?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wadau.. Nimeona niweke hapa labda kuna mwenye uzoefu na hawa mabinti basi atatoa maoni yake. Huyu Binti nilikutana nae kupitia binamu yake, kweli alikuwa ni mzuri hasa na rangi yake ya...
2 Reactions
64 Replies
8K Views
Hi jf naomba kuuliza hivi kama MTU mlishaachana kwa sbabu kataka yeye koz eti mko mbali na wakati hakujua kazi na wasifu wako katika jamii afu baada ya kama miaka miwili akajua upon university na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
.
5 Reactions
113 Replies
20K Views
Kwa mujibu wa utafiti wangu nilioufanyia kwenye eneo langu la kazi na kwa majirani zangu nimebaini kwamba, kati ya wafanyakazi watano niliofuatilia nyendo zao, ni wawili ambao walikuwa na...
18 Reactions
147 Replies
24K Views
Mke wa ndoa wa kaka yangu anamiliki kampuni kwa siri na mume wa mtu.Kaka amelifahamu hilo baada ya kampuni hiyo kushinda tenda ya ugavi kwenye taasisi moja ya Serikali. Kaka kafahamu juu ya...
2 Reactions
118 Replies
13K Views
Wadau nawasalimu Hivi ninavyowaandikia nipo home nina ED ya siku 4, nimepigwa vibaya na watu nisiowafahamu baada ya kunishutumu kutembea na mke wao Ni hivi Kuna msichana tumefahamiana kama...
12 Reactions
117 Replies
10K Views
Wapendwa Wana JF, Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja mzuri sana, na kulingana na nilivyo mtathimini anaonekana ni wife material, I admit to say that from my heart. Tatizo lililopo ni kuwa...
3 Reactions
136 Replies
13K Views
Back
Top Bottom