Umri miaka 20 hadi 30
Sura yoyote
Umbo lolote
Mbinti au mtaraka/mjane
Elimu : Ajue kusoma na kuandika hadi çhuo kikuu
Awe na nidhamu
Msafi na kujipenda
Dini yoyote
Asiwe na magonjwa ya kuambukiza...
Toka nimeingia mtaani kwa kweli kina dada na kina mama ni wengi kuliko sisi wanaume. Huko mashambani nimekutana na wanawake mahali huwezi zania..ni wapambanaji. Kuanzia ijumaa mpaka jumapili...
Ni ijumaa jioni jua likiwa linazama na miale yake kuanza kufifia kwenye jiji la Arusha. Natoa leso mfukoni na kisha kujifuta jasho baada ya kutembea umbali mrefu stendi kuelekea pango langu...
Hi JF,
I salute all beautiful, charming, God-fearing, and understanding ladies in the name of Love!
As my nickname stipulates, Am David, 28years of age, light in skin complexion, moderate...
Habari zenu wandugu
Kuna siku nilikuwa kwenye gari na kaka yangu mwenye umri wa miaka 38,sasa kuna mtaa tukikuwa tunapita katika hiyo mizunguko yetu sasa kwa mbali tukamuona binti wa kidato kama...
Umri miaka 25 hadi 28
Elimu Digrii ya kwanza au ya pili
Awe mjasiriamali au mwajiriwa
Awe mkazi wa dar
Awe na upendo wa dhati.
Asiwe na mtoto.
Awe na afya njema awe amepima ukimwi na magonjwa ya...
Habari,
Nami leo nimeamua kujitokeza jamvini kutafuta mume ambae atakuwa wangu wa maisha naamini nitampata kupitia jukwaa hili.
Mimi ni binti mwenye miaka 28 muislam natafuta mume lakini awe na...
Hi guys, natafuta mume awe HIV+
Umri kati ya 30-35,awe anafanya kazi,na awe serious na maisha binafsi mm nina umri wa miaka 27, ni H I V + ni mwajiriwa wa serikali nipo Kilimanjaro,kwa m2 alie...
Mi mwanamke pia natafuta wa kubadilishana mawazo haswa za kibiashara,kikazi na changamoto mbalimbali za kimaisha mkoa wowote,nchi yoyote.Kuchat na kushare mambo mbalimbali na kupeana michongo...
Habari Wana JF,
Mimi nina miaka 34 na watoto wawili, niliachana na mme wangu huu ni mwaka wa nne sasa, ila hadi sasa sijapata mtu mwingine hasa wa kuaminika wote ninao wapata naona wadanganyifu...
Sabakher Wadau;
Kiukwel Nipo Katika Wakati Mgumu Kutokana Na Matendo Ya Rafik Yangu Na Mai Waifu!!
Jamaa Ana Gari Na Mara Nying Huwa Anatubeba Mim Na Wife Kwan Tunafanya Kaz Hospital Moja!! Sasa...
Holla,Mambos?
Naitwa Sean, miaka 30, mfanyakazi(muajiriwa). Napenda kusafiri, kuogelea, muziki, kuwa na furaha na vingine vingi(vizuri). Kama unapenda kuwa rafiki, kubadikishana uzoefu na vingine...
Mimi ni binti nina miaka kati 24 hadi 27 yani hapa kati.Nina sababu maalumu za kutokutaja miaka kamili najitegemea, ni mweusi maji ya kunde, nimekuja hapa natafuta mwenza wa maisha, aliye tayari...
WANAUME TUSHIRIKI KATIKA SALA HII YA KUWAOMBEA WANAWAKE ...
1. Atakua na simu yake mpo nyumbani dakika hiyo anakwambia umbip hajui kaiweka wapi.
- Tuhurumie Baba
2. Ana Nguo zimejaa makabati...
Wadau, mi ni mshamba kidogo wa maeneo ya kudatia.
Hapa nina miadi na mtoto wa kishua, amenambia nimtoe out tukapige story ila sasa sijui nitampeleka wapi? Mtoto anarudi kutoka ma mtoni week...
Hello everyone
A man who seriously wants a wife pls pm me so that we can start the journey.
I am a lady of 26 years
Born again Christian
Sukuma from Mwanza
Secondary school teacher
Currently...
habari ya leo ndugu, naombeni kujuzwa jinsi ya kupeleka barua ya posa kwa wanyaturu.
nitazamia wikii hii kuenda kuomba idhini ya kumuoa dada mmoja, niliambiwa nilazima niende na barua kwa...
Za jioni wapendwa,natumaini nyote mko poa,kuna swali huwa najiuliza kwani unapoachana au mahusiano kuvunjika mwanamke anakuwa na shutuma na matusi makubwa kwa mwanaume aliye achana nae,ili hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.