Je Nitumie muda gani kabla ya kumkamatilia chini?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,661
21,639
Za asubuhi?, hope mko poa kabisa.
Straight to the point, kuna msichana mmoja nilitumia miaka mitano tokea anikubalie mpaka nimkamatilie chini,mwingine ilikuwa siku moja baada ya kunikubali lakini kuna mwingine nilimkamatilia chini hata kabla sijamtongoza.

Swali langu ni je inatakiwa ipite muda gani tokea mtoto anikubali hadi kupiga mambo ili asije kuniona mtu wa ajabu na mimi nisimshangae na kumuona kicheche?
 
Za asubuhi?, hope mko poa kabisa.
Straight to the point, kuna msichana mmoja nilitumia miaka mitano tokea anikubalie mpaka nimkamatilie chini,mwingine ilikuwa siku moja baada ya kunikubali lakini kuna mwingine nilimkamatilia chini hata kabla sijamtongoza.

Swali langu ni je inatakiwa ipite muda gani tokea mtoto anikubali hadi kupiga mambo ili asije kuniona mtu wa ajabu na mimi nisimshangae na kumuona kicheche?
Utakuwa mwanaume wa nyanda za juu kusini wewe
 
Hiyo ambae umemdinya bila kutongoza ndio inavyotakiwa, sio miaka 5.....!
 
Sijaelewa hata kidogo zaidi ya kukamatia chini,hizi lugha za ajabu ajabu jamani,na hivi nimeshakua mtu mzima ndio kabisaa,
Kijana ebu jieleze vizuri upate ushauri....
hata mi sikuelewa kule kwenye Uzi wako uliposema madudu yao nikajiuliza ni mende, kunguni, siafu au ndorobo
 
Za asubuhi?, hope mko poa kabisa.
Straight to the point, kuna msichana mmoja nilitumia miaka mitano tokea anikubalie mpaka nimkamatilie chini,mwingine ilikuwa siku moja baada ya kunikubali lakini kuna mwingine nilimkamatilia chini hata kabla sijamtongoza.

Swali langu ni je inatakiwa ipite muda gani tokea mtoto anikubali hadi kupiga mambo ili asije kuniona mtu wa ajabu na mimi nisimshangae na kumuona kicheche?
Hili dish silielewiii mbona chenga chenga na signal weak mwanzo mwishoo...
 
Kweli JF magreat thinkers wamepungua siku hizi, hata kuandika vizuri hawajui wengine
 
Za asubuhi?, hope mko poa kabisa.
Straight to the point, kuna msichana mmoja nilitumia miaka mitano tokea anikubalie mpaka nimkamatilie chini,mwingine ilikuwa siku moja baada ya kunikubali lakini kuna mwingine nilimkamatilia chini hata kabla sijamtongoza.

Swali langu ni je inatakiwa ipite muda gani tokea mtoto anikubali hadi kupiga mambo ili asije kuniona mtu wa ajabu na mimi nisimshangae na kumuona kicheche?
Uajabu wako haufichiki.....! Kama wewe ni mtu wa ajabu utaonekana hivyo tu....! Labda usifunue uchi wako daima....!
 
Inategemea we unamuhitaji kwa matumizi gani. Ila kwa matumizi yako usiumize kichwa kutongoza, we kamatilia chini tu...
 
Back
Top Bottom