Faida na hasara za michepuko kiimani

Faida na hasara za michepuko kiimani

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,322
Reaction score
56,058
Ukishiriki na mtu kimapenzi awe mwanandoa au mchepuko tegemea yafuatayo:

1) Kama ana ngekewa utarithi ngekewa yake ndio kitu inaitwa kusafiria nyota ya mwenzako

2)Kama ana gundu mtashare hayo magundu mpaka mchanganyikiwe ni kama kwenye genetics mambo ya cross breeding basi na kwenye michepuko kiroho iko hivyo ndio maana kuna makanisa yanakitu inaitwa deriverence japo mimi siiamini kivile.
 
ukishiriki na mtu kimapenzi awe mwanandoa au mchepuko tegemea yafuatayo,
-kama ana ngekewa utarithi ngekewa yake ndio kitu inaitwa kusafiria nyota ya mwenzako
-kama ana gundu mtashare hayo magundu mpaka mchanganyikiwa
ni kama kwenye genetics mambo ya cross breeding basi na kwenye michepuko kiroho iko hivyo ndio maana kuna makanisa yanakitu inaitwa deriverence japo mimi siiamini kivile

Kuwa muwazi sema kama ana UKIMWI basi mtaushea unafichaficha nini kwani ni jukwaa la watoto hili..?!
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Watu wameanza kuchepuka toka enzi za nabii musa, dunia ingekuwa ya vichaa. Hakuna kitu kama hiko.
 
Ukishiriki na mtu
kimapenzi awe mwanandoa au mchepuko tegemea yafuatayo:

1) Kama ana ngekewa utarithi ngekewa yake ndio kitu inaitwa kusafiria
nyota ya mwenzako

2)Kama ana gundu mtashare hayo magundu mpaka mchanganyikiwe ni kama
kwenye genetics mambo ya cross breeding basi na kwenye michepuko kiroho
iko hivyo ndio maana kuna makanisa yanakitu inaitwa deriverence japo
mimi siiamini kivile.

michepuko inaonewa sana
 
Back
Top Bottom