mhugo hantish
Senior Member
- Apr 21, 2015
- 137
- 36
J
Habari ndugu wadau? Napenda kuileta mada yenye kichwa husika hapo juu. Siku hizi wazazi wengi wameanza kuwasahau wana wao na kusahau majukumu yao. Hali hii imepelekea kuwafanya watoto walio wengi kukua vibaya na kuyakosa malezi ya mama mzazi licha ya uwepo wa asilimia kadhaa ya watoto wanao lelewa vizuri ukilinganisha na hapo kale. Leo hii mtoto akizaliwa tu anaachwa na house girl. Mama anakua na majukumu mengine ya kikazi na utafutaji hasa kwa kipindi hiki ambacho uchumi umepanda ngazi. Kwa jinsi hiyo mtoto hujikuta kuyakosa malezi ya mama hata afikiapo umri wa kujitambua.
Sasa hebu tuangalie hapa. Sahizi idadi ya mahouse girls inapungua na idadi ya wasomi inaongezeka. Hii inamaana kua kila mzazi anamlea mtoto akimuandaa Kuwa msomi na si mlea watoto. Je, baada ya karne moja nchi hii itakua na walea watoto? Na kama jibu ni hapana tutawatunzaje watoto wetu watakao zaliwa hiyo karne?
Kuna hatari ya kuwasababishia wanetu lishe hafifu/afya duni.
Nina mengi ya kusema ila niishie hapa kwa leo.


Habari ndugu wadau? Napenda kuileta mada yenye kichwa husika hapo juu. Siku hizi wazazi wengi wameanza kuwasahau wana wao na kusahau majukumu yao. Hali hii imepelekea kuwafanya watoto walio wengi kukua vibaya na kuyakosa malezi ya mama mzazi licha ya uwepo wa asilimia kadhaa ya watoto wanao lelewa vizuri ukilinganisha na hapo kale. Leo hii mtoto akizaliwa tu anaachwa na house girl. Mama anakua na majukumu mengine ya kikazi na utafutaji hasa kwa kipindi hiki ambacho uchumi umepanda ngazi. Kwa jinsi hiyo mtoto hujikuta kuyakosa malezi ya mama hata afikiapo umri wa kujitambua.
Sasa hebu tuangalie hapa. Sahizi idadi ya mahouse girls inapungua na idadi ya wasomi inaongezeka. Hii inamaana kua kila mzazi anamlea mtoto akimuandaa Kuwa msomi na si mlea watoto. Je, baada ya karne moja nchi hii itakua na walea watoto? Na kama jibu ni hapana tutawatunzaje watoto wetu watakao zaliwa hiyo karne?
Kuna hatari ya kuwasababishia wanetu lishe hafifu/afya duni.
Nina mengi ya kusema ila niishie hapa kwa leo.















