Jamani wanajamvi, habr za wikendi.
Kuna wanaume mamburula sijawahi kuona.
Kuna wanaume mambuzi hadi wanakera, kuna wanaume sijui wana wadaudu kichwani.
Yaani kuna wanaume sifa za kuitwa wanaume...
Natafuta mchumba ambaye atakuwa my wife,mimi nina miaka 30 nipo Kinondoni.sifa zake awe mcha mungu,asiwe mvivu pia awe tayari kupima HIV na magonjwa mengine.aliye tayari ani pm namba yake...
Habari za weekend wapendwa, natumaini muwazima wa afya, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo kuu kilichonisukuma kuongea hivyo ni huu mkanganyiko ninauona kwa hawa wanawake kwa kutokuwa na...
Ndugu zangu mabibi na mabwana napenda kuwakaribisha katika bachela pati mitaa ya Njiro Arusha.
Nyote mnakaribishwa bila kukosa ila kama una mke acha nyumbani njoo mwenyewe na kama una mume muache...
Mimi ni kijana (mwanaume) wa Dar!
Nimejaribu kufanya comparison kati ya vijana wengi wa bara na wale wa visiwani nikagundua kuwa vijana wa visiwani wana ishi maisha mazuri sana kuliko sisi wa...
Alimpenda mno mke wake, alijitahidi kumpa mkewe kila kitu kilochopo ndani ya uwezo wake, lakini mke wake hakuwa akiridhika na ku appriciate. Ingawa hakuwa tajiri lakini alijitahidi mno ku share...
Habari ya j3
huwa najiuliza kwa haraka.
Kati ya mke/mume au wapenzi wa jinsia tofauti yupi huanza kumkinai mwenzi wake kwa haraka.
Maana wengi wetu hujikuta kutokuwa wawazi hasa ikitokea umekinai...
Kusema kweli mimi nina aibu sana, pia huwa sipendi kumwambia mtu jambo litakalomuumiza kihisia.Kuna binti mmoja nimeanza nae mahusiano hivi karibuni,mwezi wa pili ndio tulikutana nae kimwili.
Sio...
Jumapili njema raia.
Sasa bana, neno la leo ni kuhusu miadi ya makutano ya watu wawili walio na raghba ya kuja kuweza kuwa wenza hapo baadaye.
Mkaka na mdada wanawasiliana kwenye simu. Wanapanga...
Mimi nina mke na tuna zaidi ya miaka nane sasa,ila nimelazimika kuleta matatizo yangu hapa ili nipatiwe msaada.
Mimi ninamridhisha kwa kila hali na ninampa mapenzi yote ya kitandani na ya kawaida...
Ndoa hazidumu kwa sababu kabla ya kufunga ndoa watu wanakuwa Obssesed na Wedding Ceremony Imaginations, bila kujua Ndoa inaenda mbali zaidi!
Kuna Ndoa na kuna Harusi...Wengi mnapenda zaidi harusi...
Habari ndugu wanaJF.
Mimi ni mvulana wa miaka 23 ifikapo desemba mwaka huu natimiza.
Kisa:Kuna msichana nlimpenda sana sana hapo awali ikumbukwe kua kazi YANGU ni Milling tukiwa Wavulana 2 mim NA...
Kabla ya kutuma sms muwe mnahakiki kama unae mtumia ni mtu sahihi.
hebu cheki huyu mama alivyo umbuka.
je angekua ni mkeo ungefanyaje?
BINAFSI NISINGEKUA NA MJADALA NI TALAKA TU ASUBUHI ASUBUHI.
Ndugu zangu,
Mimi nina tatizo na mama mkwe wangu kwa kifupi nimeishi na mtoto wake kwa miaka 15, sasa na tumepata watoto wawili lakini jambo la kushangaza ametoa kauli nzito kwangu akisema kuwa...
Naombeni mzi pokee salam zangu, Enyi wanawake wa zuri wa Dar hamjambo? kwa rehema za mungu wetu mkuu bilasha hamjambo.
Leo naliona nibora kuwa andikia uzi wenu pekeyenu enyi mabinti wa dar...
salama jamen?
Husika na kichwa cha barua hapo juu.Mimi ni Mwl wa shule msingi,tatizo linalokuja ni kwamba sitaki kabisa hata kusikia suala la kuolewa na mwl.
Eti nahisi hatuwez fikia mafanikio...
Habari zenu wana jf
Kuna rafiki yangu ameolewa katika familia kabila ni tofauti na lake..
Sasa linapokuja swala la vikao ukweni hata wakwe wakija nyumbani kwake ni kilugha kinacharazwa...