HABARI ZA MAPUMZIKO WADAU. KUNA JAMBO LINANITATIZA NA NASHINDWA KUMUELEWA HUYU DEMU WANGU. KANIOMBA ELFU 50 NIKAMJIBU MPENZI LEO SINA HELA. MARA INAINGIA SMS IPO KIASI GANI? JAMANI NAOMBA...
Habari wanaJF nimeona nije kwenye hili jukwaaa mana najua hapa ntapata mawazo chanya.
Mim ni kijana 22yrs Old kwetu tulizaliwa wawil mimi na dada yangu alishaolewa ana maisha yake. Mimi kwa...
Jamani ndugu zangu wa JF,
Huyu jirani yangu ni kaka ana mkubwa tu na ana miaka 26 sasa na ni mhitimu wa diploma ya procurement mwaka juzi 2014 katika chuo cha Uhasibu Mbeya (TIA) na kwa sasa...
Habari zenu wakuu. Ninarafiki yangu nampenda sana ni msichana mmoja mtulivu sana kwanzia nyumbani kwao, shuleni mpaka ugenini. Ila ni muathirika Wa virusi vya ukimwi ugonjwa huo alizaliwa nao. Ni...
Nawashangaa sana wanaume mnapolalamika kuombwa hela, wakati nyie papuchi mnataka... Sasa maisha kusaidiana, unapotaka tunda basi ukubali kutoa pesa msilalamike!
"Kuna thread moja inahusu michango ya harusi imenikumbusha mbali. Hivi jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na...
Wadau kumekuwa na ongezeko la wanawake wenye ndevu
na kwa ujumla wanawake hawa wamekuwa wanapata shida sana ikija swala la kuolewa.
Kijana wa kiume anapata shida kwenda kumtambulisha kwao...
I hope this will help you out...............
Dear..........
I am very happy to inform you that I have feelings for you since Tuesday, the 1st of July 2008. With reference to the meeting...
Jamani,kwanza natangulia kuomba msinibeze ndugu zangu,
Mimi ni kijana mvulana wa miaka 27,nina elimu ya chuo kikuu masters, nina kazi nzuri pia nina uwezo wa kujitosheleza kama kijana kwenye...
Mara nyingi wanaume wengi hupenda ama kuvutiwa sana na wanawake wenye makalio makubwa. Kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana ana soko kuliko wale wenye makalio ya...
Jamani wanajamvi, habr za wikendi.
Kuna wanaume mamburula sijawahi kuona.
Kuna wanaume mambuzi hadi wanakera, kuna wanaume sijui wana wadaudu kichwani.
Yaani kuna wanaume sifa za kuitwa wanaume...
Natafuta mchumba ambaye atakuwa my wife,mimi nina miaka 30 nipo Kinondoni.sifa zake awe mcha mungu,asiwe mvivu pia awe tayari kupima HIV na magonjwa mengine.aliye tayari ani pm namba yake...
Habari za weekend wapendwa, natumaini muwazima wa afya, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo kuu kilichonisukuma kuongea hivyo ni huu mkanganyiko ninauona kwa hawa wanawake kwa kutokuwa na...
Ndugu zangu mabibi na mabwana napenda kuwakaribisha katika bachela pati mitaa ya Njiro Arusha.
Nyote mnakaribishwa bila kukosa ila kama una mke acha nyumbani njoo mwenyewe na kama una mume muache...
Mimi ni kijana (mwanaume) wa Dar!
Nimejaribu kufanya comparison kati ya vijana wengi wa bara na wale wa visiwani nikagundua kuwa vijana wa visiwani wana ishi maisha mazuri sana kuliko sisi wa...
Alimpenda mno mke wake, alijitahidi kumpa mkewe kila kitu kilochopo ndani ya uwezo wake, lakini mke wake hakuwa akiridhika na ku appriciate. Ingawa hakuwa tajiri lakini alijitahidi mno ku share...
Habari ya j3
huwa najiuliza kwa haraka.
Kati ya mke/mume au wapenzi wa jinsia tofauti yupi huanza kumkinai mwenzi wake kwa haraka.
Maana wengi wetu hujikuta kutokuwa wawazi hasa ikitokea umekinai...
Kusema kweli mimi nina aibu sana, pia huwa sipendi kumwambia mtu jambo litakalomuumiza kihisia.Kuna binti mmoja nimeanza nae mahusiano hivi karibuni,mwezi wa pili ndio tulikutana nae kimwili.
Sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.