Bachela pati, Njiro Arusha

Bachela pati, Njiro Arusha

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,718
Ndugu zangu mabibi na mabwana napenda kuwakaribisha katika bachela pati mitaa ya Njiro Arusha.

Nyote mnakaribishwa bila kukosa ila kama una mke acha nyumbani njoo mwenyewe na kama una mume muache alinde nyumba njoo tujumuike pamoja.

Wale masingo hii pati ndo yenu kuja kwenu ndo kukamilisha pati hii murua. Pasipo kusahau njoo na vinywaji vyako ila nyama choma na vegetables zitakuwepo.
Nyote mnakaribishwa.
 
Hiyo njiro Arusha yako ipo jf?

Toa directions vizuri
 
Theme ya hiyo 'bachela pati' ni nini?
ujue kuna wakati pia walio ktk ndoa lazma wakumbushie enzi za using.japo ni kwa masaa machache ila utajikumbusha mengi ya enzi za ubachela.
 
Hapo ni shida mkikuta huko itakuwaje? "MKE NA MUME" Kila mmoja alimuomba mwezake abaki nyumbani
 
Mie pia niko single ntakuja
 
Kuna tangazo limepita hapa kesho sasaba kuna kongamano la wanaume jinsi ya kuwafanya kua bora. Muende nyie wanaume, ni njiro ila sehemu sijasikia fresh
 
Wewe si ndo umetoa kadi za mwaliko eroo...Unasema tena upo single utakuja...Ama utakuwepo?
Nahis kuna mtu kaingia ktk akaunt yng.uwiii usikute wife ngoja nichelewe kurud hom.duuuhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom