A 41-year-old woman named Donna Lange
killed her boyfriend by suffocating him with her 38DD boobs.
Kumbe maziwa ya wanawake ni hatari !!
hiyo 38dd boobs, wadada wa jf wengi ndio wanazo...
Baada ya wiki nzima kutoelewana mimi na mpenzi wangu...hatimaye juzi kwa hasira nikaamua kumuacha lakini najishangaa mimi ndie ninaeumia na kuanza kujutia maamuzi yangu sina raha ,nimedhoofu kama...
Nichukue fursa hii kumtakia heri kwenye siku yake ya kuzaliwa mzee wa mia figganigga pamoja na bily. Ashukuriwe Mungu kwa neema yake na wabarikiwe mama waliekuleteni duniani na kukukuzeni kwa...
Tangu mpenzi wangu kupangiwa kazi ya ualimu Mpwapwa Dodoma hiyo mwezi wa pili nimekuwa mpweke kupita kiasi kwani hata mawasiliano yamepoa hadi nahisi kuibiwa penzi huko aliko.
Juzi kati nimetema...
Natafuta mwanamke atakae kuwa rafiki yangu mpaka kuwa mchumba, nina kazi yangu safi so usihofu kuhusu mkwanja na kila kitu, Email-kbrama77@gmail.com 0687270030.
Nitafute sasa hivi
[
imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba...
Enyi wanawake mliojaa huruma na mapenzi mema kwa waume na wapenzi na watoto wenu salam ziwafikie popote mlipo.
Nmegundua kuwa mwanamke ni mtu mhimu sana kwetu wanaume.
Mwanamke anauwezo wa...
Half of women lie about number of ex-partnersWednesday, 21st July, 2010GRAIN OF SCIENCE
Half of women lie because they feel ashamed of the number of former partners, a research body in UK...
Aina ya mpenzi wa kike anayeweza kukufanya uishi kwa raha hapa duniani
1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda...
Habari za jumapili wapendwa katka bwana! Asalam aleykum....!
Mi ninajambo nataka kushere na nyi wapendwa, mawazo yenu yanaweza kuwa njia sahihi...!
Kaka yangu kipenzi ninaemfata mimi, ana...
Leo wife katika harakati zake za upekenyuzi wake kwenye nguo zangu kazama kwenye Koti kakuta kondomu nilipewaga siku mingi kwenye promo sasa ni Jana tu nimeiweka kwenye Koti Leo kaikuta...
Nilikutana nae nikiwa na binamu yangu safarin kibihashara, nilishndwa kujizuia ikabid nimuulize mwenyej wa eneo lile nyumba na mtaa anakoish yule mdada. Jion yake nikaenda na bnamu kwa yule mdada...
Wadau ushauri wenu nauhitaji nini nifanye baada ya kula kujamiiana na msichana ambae nimegundua ana V.V.U japokuwa nilitumia mpira sina imani. nlpga miez 6 iliyopita na nmerudia last week wkt huo...
How to make a Man happy
1. Feed him
2. Sleep with him
3. Leave him with peace
4. Don't check his phone (Msgs)
5. Don't bother him with his movements
So what's so hard about that?
HOW TO MAKE A...
kwanza ni mushukuru muumba kwa yote Mimi nikijana umri unatakiwa sasa niwe na mchumba au hata mke kwani nimekamlisha sehemu kubwa ya malengo yangu, tatizo nikwamba cna moyo wakupenda hata kidogo...
Nikiamka asubuhi hela zimechukuliwa kwenye pochi. Nakaa mwenyewe natoka asubuhi narudi usiku. Hakuna mtu yeyote anayeingia chumbani/sebuleni. Je hii ni sayansi gani? Je unawezaje kuepuka hili...
Kufuatia ongezeko la vitisho vya ugaidi huko Mombasa wasichana wengi wameachwa na wazungu waliokimbia,sasa hivi ukienda unajibebea kitu cha nguvu bila kutegemea kwa bei nafuu.
Kumbuka hawa...
Habari MMU
Naomba kueleweshwa swala hili kwa wale wazazi na walio na ufahamu wa mila na desturi.
Kuna hii swala la 40 (yaani utoaji mtoto nje baada ya kutimiza siku arobaini,) Hivi ni muhimu...
NAOMBA MSAADA WANA JAMVI KWA MASWALI HAYA
1.Kujipanga kabla ya kuoa maana yake nini?
2.Kwa nini wengi wanaosubiri kujipanga uingia kuoa by force??(unplaned PREGNANCY)
Nitashukuru kwa wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.