Mdogo wangu ni Mwanafunzi wa kidato cha nne mwaka huu (2016), Bahati Mbaya Kapatiwa Ujauzito wenye zaidi ya miezi mitatu sasa, Nashindwa kujua namsaidia vipi kwa sababu zifuatazo
1. Ni uzembe na...
Sijielewi, najiona mkosaji, sifai kuishi kwenye hii dunia. Nasikia sauti inaniambia nijiue ndo itakua heri kwangu. Kuna sauti nyingine inaniambia nitoroke niende mbali nisionekane.
Wakuu...
Wasalaam wakuu,
Bila shaka wengi wetu tumeshashuhudia Wanaume wengi walioko kwenye ndoa ambao hawana Uwezo wa kuzalisha na kisha kuwaambia wake zao watafute wanaume nje kwa siri ili wapewe...
Wanaume msidanganywe, pale hakuna cha kuoshwa wala nini! Leo nimepita sehemu nikakutana na mdada mmoja kawekwa kati anasuguliwa miguu na kuoshwa! Dah jamaa akawa anakanda hadi kwenye mapaja! Cha...
Habari zenu wana MMU
Leo nimewaletea zawadi ya somo zuri ..
NAAMINI KATIKA SOMO HILI NA BAADA YA KUYAFANYA HAYA NAOMBENI MREJESHO ..
katika Mapenzi kuna vitu vingi unaweza kumfanyia
Mpenzi wako...
Chukulia kuna washikaji watatu x,y na z.
Unakutana nao mahali au barabarani, kutokana na ulivyo, yaani uko vizuri mtoto wa kike wewe na ukaona kabisa wale vidume wanakutolea macho na kukumezea...
Wadada wenzangu hbr za jpili?
Bilashaka mko poa.
Rejeeni kwenye mada husika.
Nimetafakari kwa kina tatizo linalotukabiri wanawake wengi la kutokuolewa nikapata jibu kuwa sisi wenyewe ndiyo...
NI VEMA UKAYAJUA HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea...
Habari zenu wadau,napenda kutoa shukran zng za dhati kwa Mungu kwa kunitua mzigo alonitwika,nilichojifunza kuwa subira ni ngumu ila inamalipo.
Awali nilitumia madawa ya kienyeji na ya
hospitali...
Habari za asbh wana JF,
Napenda kuwaambia kuwa kuishi na mpangaji mwenzio alafu anakuonea wivu wa kimaendeleo ni shidaaa. Wiki 2 mbili sasa kichwa hakiachi kuuma, nimekwenda Hospital mara kadhaa...
Nimefuatilia sana katika media na maongezi mbalimbali juu ya swala la usawa wa wake kwa waume,nikagundua kuwa wengi wanahisi,usawa wa wake kwa waume unaongelea juu ya mgawanyo wa majukumu Fulani...
WASH'KAJI EEEEEEEH!
KUNA SUALA LINANIKWAMISHA HAPA KWENYE HIKI KIPENGELE CHANGU CHA KUOA.
HUKU KITAA PANDE ZA TABATA_SANENE KUNA MTOTO MZURI MWEUPEEEEH!
HALAFU KAJAZIA VEMA,
NI MKARIMU...
Wakuu wa nchi naomba kuuliza, hivi ukimkuta mke wako wa ndoa yuko na mwanaume mwingine wanagegedana live utafanyaje wanaume wenzangu ?
Kuwapiga panga ?
Kumtimua mkeo ?
Kuwapiga na manati ya...
Huyu Dada kwa kweli naweza nikasema ni wale miongoni mwa wanaojiuza, alifanya hayo yote sababu ya shida alizonazo ukilinganisha na huku tulipo ni mbali na nyumbani.
Aliishi maisha ya tabu sana...
Habari za kwenu wadau jf members
Rejea kwenye tittle hapo juu,
zama za kale naamini huu ndiyo hulikuwa utaratibu rasmi na wazee wetu wa zamani waliweza kuwa wavumilivu kwa kutofanya ngono mpaka...
mundimukanga??
wakuu kutokana na hali ya hewa leo kulikuwa na foleni sana sasa wakati natoka posta nikaamua nitembee mdogo mdogo labda mbele foleni litapungua nitapanda public transport mpaka...
Wakuu kizuri share na wenzio. Kuna data hapa nataka ku share na nyie, Hususani vijana wa kiume wa umri wa 23/29.
Ni mara ya Kwanza natupia uzi. Marekebisho ya uandishi yanakaribishwa.
Juzi...
habari za jpili wandugu leo nataka na mimi nichangie angalau kimechonitokea kifupi mimi ni mgeni hapa dar nina miezi miwili hivi tangu nije kutafuta maisha baada ya kumaliza chuo, basi hapa...
Habari wanajamvi;
Kuna baadhi ya tabia au mazoea ya mtu ambapo huwa hayakomi hadi mtu ayakane mwenyewe Kisaikolojia.Tabia hizi huwa hata kama mtu huyo akutwe na janga ama hasara katika jambo lile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.