Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nionavyo mimi na niwachukuliavyo mimi ni kuwa wanawake ni wazuri usoni wakitabasamu ila rohoni wakatili sana. Anayepinga atueleze kama kuna mwanamke asiyetabasamu ila wapo wanaume wasiotabasamu...
5 Reactions
75 Replies
8K Views
Habari wandugu. Kuna ishara nyingi ambazo mtu yeyote awe ndugu, unayemdai au mchumba/mke/mume akikuonyesha ujue mahusiano ndio yameisha. Hauhitaji hata kuuliza kwa nini. Mfano ukiwa unampigia...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Naomba kufahamu, humu ndani kuna wanawake pure kutoka Bara Hindi? Yuropa na America. Kwa kifupi tu napenda dating na Europeans, imay start my assignment here. Can we please know each other, pm...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Jamaaaani haya mapenzi kwanini yasiwe na formula basi tukajua kama nikwenda kuyasomea kuzama darasani ikajulikana moja. Mpaka sasa natamani mapenzi ya kweli bora yangekuwa yanauzwa supermarket...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Huwa najiuliza wanawake ni nini huwavutia zaidi kwa men ni pesa, akili? u handsome, utanashati, au ni nini zaidi.
3 Reactions
146 Replies
18K Views
Aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga alikuwa humu Tanzania hivi majuzi. Kati ya mambo waliyojadili na mwenyeji wake Rais Magufuli ni jinsi mmea wa MIRAA {Mirungi} unaweza kuanza tena...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi mwalimu
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Hawa wanafunzi hawa, shetan ananiita kabisa na miaka 30 ileeeee , ebu nipen mbinu waungwana Mimi ni mwalim nafundisha shule frani hivi na tokea nmeanza kufundisha sijamaliza hata mwaka Kuna...
3 Reactions
169 Replies
14K Views
Hii imetokea baada ya mwanamke kugundua kuwa jamaa anatoka na mwanamke mwingine kwa kumficha Baada ya demu kugundua akawa anamsaka jamaa bila mafanikio,hapa na hapa akakutana na jamaa viwanja...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
From a young age, girls are surrounded by images and words that tell them they should focus on their physical beauty, especially through advertisements and commercials. Many of these ads are for...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Jamani Snura, Snuu Sexy mchaga mwenzangu tunapanda wote meridian mi nashuka marangu mtoni yeye anaenda kwao rombo mashati sijui mkuu...
13 Reactions
219 Replies
71K Views
Kwa kweli mimi sielewi hiki ni kitu gani jamani baba ambaka mtoto wake wa miaka tisa na kumlazimisha kulamba shahawa zake. nikajiuliza hii ni nini? mwisho wa dunia au mwisho wa binadamu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hii nimeipata kwenye tovuti ya habari, mwanamke ameolewa na mume ambaye hachoki na hatosheki, wanafanya tendo la ndoa mara nane kwa siku. Mke anasema mumewe ni mzuri sana kitandani na kweli huwa...
5 Reactions
141 Replies
26K Views
Habar wanajamvi,nahitaj marafik wa kubadilishana nao mawazo ya kimaisha ya kila cku jinsia zote.karibun sana aliye tayar anichek kwa email: josephsadock2@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ugomvi wa kimapenzi wamalizikia kwenye gar Image captionRange Rover Picha za gari lililokuwa na ujumbe wa kukasirisha uliochorowa katika gari hilo zimesambazwa mara elfu katika mtandao wa...
1 Reactions
52 Replies
9K Views
Habari kwenu nyote Nimekuja humu leo kwasababu na shida muhimu sana iliyotokea kwenye maisha yangu naitaji msaada kuna wale watu waliobarikiwa kusaidia wenzao ukiguswa naomba uniandikie pm...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
tujadili wote kwani jinsia zote hapa zipo,au mnasemaje?
0 Reactions
56 Replies
7K Views
MTUNZI: George Iron Mosenya TUNUKIO! Simulizi hii ni maalumu kwa kila mtanzania na yeyote anayezungumza na kukisikia Kiswahili. Simulizi hii iondoke na mawazo finyu uliyonayo kuhusu walemavu wa...
2 Reactions
60 Replies
32K Views
Kwa masikitiko makubwa mno leo najitokeza kueleza KERO yangu kwenu Dada zetu kutokana na MATESO mnayotupa hasa ya kututia hasara kila kukicha. Sijui Dada zetu siku hizi mmeingiliwa na nini kwani...
2 Reactions
56 Replies
10K Views
Wakati mwingine huwa nahisi nimerogwa, linapokuja swala la huyu Ex wangu sijiulizi mara mbili mana bado nampenda si kidogo. Miaka mitatu tangu tuachane ila bado tunakutana na kushirikiana vitu...
2 Reactions
58 Replies
9K Views
Back
Top Bottom