Sijielewi, najiona mkosaji, sifai kuishi kwenye hii dunia. Nasikia sauti inaniambia nijiue ndo itakua heri kwangu. Kuna sauti nyingine inaniambia nitoroke niende mbali nisionekane.
Fanya maombi sana. Muombe Mungu wako sana. Inawezekana kuna roho inakutafta. Kuna jirani yangu aliwahi kuwa na hali km hiyo. Kuna sauti ilkuwa inamjia ikimtaka ajiue. Mwsho wa siku akanywa sumu kweli. Inasikitisha xana. Fanya maombi kwa Mungu wako naye ni wa rehema atakusaidia.
Umefanya nini kwani,...ashindwe kujiua waziri wa Kongo kwa kupiga nyeto na dunia nzima tumejua.....fikiria msongo wa mawazo wa huyo wazir....matter of time tu , usichukue uamuzi huo, chilax litapita tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.