Alipewa ujauzito akatelekezwa, huruma iliniponza nikamsitiri sasa ananilazimisha kuwa baba

Mr mgeni

JF-Expert Member
Apr 27, 2014
1,222
804
Huyu Dada kwa kweli naweza nikasema ni wale miongoni mwa wanaojiuza, alifanya hayo yote sababu ya shida alizonazo ukilinganisha na huku tulipo ni mbali na nyumbani.

Aliishi maisha ya tabu sana hadi kufikia kapata ujauzito bila kujua ni nani muhusika alinyanyasika sana kila anaemuomba msaada anamfukuza na kumtolea maneno makali sana, hakua na jinsi alidiriki hadi baadhi ya siku zingine kushinda njaa.

Nakumbuka siku moja alikuja nyumbani nilipo panga na kunieleza mkasa mzima alihali mengine niliyashuhudia kwa macho yangu alifukuzwa kwenye nyumba aliyekuwa akiishi kwa kutokulipa pango hakuwa na pakuelekea!!!

Huruma ilinijia nikajikuta machozi yakitoka, nikamwambia mimi naishi mwenyewe upo tayari kukaa na mimi? Hakuamini maskioni mwake alichokisikia alifurahi mno,
Basi tukawa tunaishi kama mke na mume alipoteza mawazo yote nakuhisi kama yupo peponi.

Kiukweli sisemi uongo mwanaume ni mwanaume tu haiwezekani ulale na mwanamke usimgegede. Nilikuwa nagonga show kama kawaida.

Mimba yake ilipokuwa kubwa nilimshauri aondoke Tanzania nyumbani akajifungue alikataa anadai ananipenda sana hivyo hawezi kuwa mbali na Mimi.

Nilimshawishi akanielewa nilimfanyia utaratibu wa safari na pesa za kumtosha tu akatumie, alifika salama na kujifungua mototo wa kike.

Sasa anataka nimpe jina mtoto akidai huyu mtoto ni wa kwangu nilimkatalia na ikawa mwisho wa mawasiliano Mimi na yeye.

Jana kawasiliana na rafiki yangu anamwambia nikikataa anamuua huyo mtoto na yeye atakuja kunifata tuishi.

Naombeni ushauri ndugu zangu.
 
Mpe Jina bana, Si mtoto wa kike. Kama ni Mkiristo mpe hili Jina kati ya haya: Ariana, Hanna, Sorana, Carys. That woman can be a woman of your life Brother, Mungu ana makusudi sana na watu. Katika Maisha kuna watu niliwahi kuwadharau lakini waliwahi kuja kuwa msaada kuliko kawaida.
 
Huyu Dada kwa kweli naweza nikasema ni wale miongoni mwa wanaojiuza, alifanya hayo yote sababu ya shida alizonazo ukilinganisha na huku tulipo ni mbali na nyumbani.

Aliishi maisha ya tabu sana hadi kufikia kapata ujauzito bila kujua ni nani muhusika alinyanyasika sana kila anaemuomba msaada anamfukuza na kumtolea maneno makali sana, hakua na jinsi alidiriki hadi baadhi ya siku zingine kushinda njaa.

Nakumbuka siku moja alikuja nyumbani nilipo panga na kunieleza mkasa mzima alihali mengine niliyashuhudia kwa macho yangu alifukuzwa kwenye nyumba aliyekuwa akiishi kwa kutokulipa pango hakuwa na pakuelekea!!!

Huruma ilinijia nikajikuta machozi yakitoka, nikamwambia mimi naishi mwenyewe upo tayari kukaa na mimi? Hakuamini maskioni mwake alichokisikia alifurahi mno,
Basi tukawa tunaishi kama mke na mume alipoteza mawazo yote nakuhisi kama yupo peponi.

Kiukweli sisemi uongo mwanaume ni mwanaume tu haiwezekani ulale na mwanamke usimgegede. Nilikuwa nagonga show kama kawaida.

Mimba yake ilipokuwa kubwa nilimshauri aondoke Tanzania nyumbani akajifungue alikataa anadai ananipenda sana hivyo hawezi kuwa mbali na Mimi.

Nilimshawishi akanielewa nilimfanyia utaratibu wa safari na pesa za kumtosha tu akatumie, alifika salama na kujifungua mototo wa kike.

Sasa anataka nimpe jina mtoto akidai huyu mtoto ni wa kwangu nilimkatalia na ikawa mwisho wa mawasiliano Mimi na yeye.

Jana kawasiliana na rafiki yangu anamwambia nikikataa anamuua huyo mtoto na yeye atakuja kunifata tuishi.

Naombeni ushauri ndugu zangu.

Kwa kuwa ulikubali kulea mimba, kubali pia kumpa jina. huyo ni wako.
 
Huna haja ya kuogopa wala kuwaza kuwa alikuja kwako akiwa tiyari anapiga band. Sahau yoote, mpokee na mtoto wako sasa. Huwezi jua kwa nini anakuandama. mpe mtoto jina, kuna siku, utafurahia faida ya huyu mtoto, Mwite Ndetolo na akija kuuliza maana mwambie ulimpata tu kwa bahati.
Hakika huyu mama anakupenda na atakuheshimu akikumbuka ulipomtoa
 
Huna haja ya kuogopa wala kuwaza kuwa alikuja kwako akiwa tiyari anapiga band. Sahau yoote, mpokee na mtoto wako sasa. Huwezi jua kwa nini anakuandama. mpe mtoto jina, kuna siku, utafurahia faida ya huyu mtoto, Mwite Ndetolo na akija kuuliza maana mwambie ulimpata tu kwa bahati.
Hakika huyu mama anakupenda na atakuheshimu akikumbuka ulipomtoa
Loi ni Ndetolo
 
Back
Top Bottom